The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Mkuu nme enjoy sn kuwaangalia hawa watu, kweli Man u ilikuwa na quality players mpk raha, one mistake one goal.
Angalia na hawa wazee nao jinsi wanacheza mpira wa kuvutia


Mkuu nme enjoy sn kuwaangalia hawa watu, kweli Man u ilikuwa na quality players mpk raha, one mistake one goal.


Kiwango kinapanda sasa tutafika huko tunapungikiwa wanne hiviMkuu nme enjoy sn kuwaangalia hawa watu, kweli Man u ilikuwa na quality players mpk raha, one mistake one goal.
Angalia na hawa wazee nao jinsi wanacheza mpira wa kuvutia
Najua leo pia tunaweza tukacheza uopolo cz ndiyo desturi yetu tukifanya vzr mechi moja basi inayofuata itakera, but all in all nategemea ushindi, and last but not least ni kumuona Amad uwanjani, Ole anajua mashabiki wana hamu na dogo leo.Matchday:::: United vs Newcastle
Game kama hizi ni za kushinda comfortably huku tuki-enjoy pira biriani,lakini utashangaa tunaanza ujinga ujinga tena.
====
My Starting XI would be;
====
Henderson
AWB Bailly Maguire Shaw
Fred Matic
Greenwood Fernandes Rashford
Martial
=====
✓Najua Socha atarudi na De Gea pamoja na LINDELOF pale nyuma.
✓CAVANI kama atakuwa 100pc fit basi aanze nafasi ya MARTIAL..if not,MARTIAL aanze
✓Maliza game mapema ili young stars kama AMAD wapate nafasi ya kucheza kwa dakika chache kiasi.
GGMU
Huyu ata floap tu kama Demaria..man u siyo ya wachezaji kama hawa..Kifaa hicho View attachment 1707933
Ziyech ni bruno watatuChaguo sahihi liko wazi sasaView attachment 1707935
Kama nyie msimu uliopita kombe lenh likikuwanj kukaa juu yetu. Mlifurahi sanaChelsea kombe lao kututoa nafas ya pili watafurahi sana ikitokea



Kama nyie msimu uliopita kombe lenh likikuwanj kukaa juu yetu. Mlifurahi sana
Sisi nafasi ya pili ni uhakika wala hatuna papara nayo kabisa.
Tushasema hapa hii manure chini ya Olesendeka itaendelea kumfukuza mwizi taratibu tu ..zaidi ya hapo hakuna jambo jingine kubwa atafanya huyo bwana
#CFC
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app



Ushakunywa mataputapu hapo ololoo unaropoka tu sasa..tunashinda leo zinakuwa point sita.Yani nyie matakataka bado point tatu tu ..sisi hatuna haraka na nafasi yetu ..mtupishe tufukuzane na City boys nyie mnajishika shika sana tuondoleeni utopolo mbele yetu.
#CFC
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hahaha mimi niko zangu nyumbani nimetulia na mtoto mkali wacha Nile tunda kwanza tutaonana badae nikija kutoa pole baada ya kipigo..Ushakunywa mataputapu hapo ololoo unaropoka tu sasa..tunashinda leo zinakuwa point sita.








Goli limefungwa na jesse lingard lakini msherehekeaji mkuu ni ed woodward.Jesse Lingardinyo anatakata huko..kamweka mbwatukaji (Jose') chuma cha pili
Jesse' sio kwamba atakuwa free msimu ukiisha?..Goli limefungwa na jesse lingard lakini msherehekeaji mkuu ni ed woodward.
kwa mara nyengine tena ed anakwenda kushinda vita hii aliyoianzisha ya kuwapa mikataba mikubwa wachezaji wanaoonekana kukosa upendo mbele ya nyuso za mashabiki wa manchester united.
kama lingard ataendeleza moto huu wa kufunga magoli hii inaleta tafsiri ya kwamba ed atakuwa na uhakika wa kutengeneza takribani paundi millioni 15 hadi 25 kupitia mauzo ya jesse lingard dirisha lijalo.
mkataba wake wa awali uliwekewa kipengele cha kuongezewa mwaka mmoja.Jesse' sio kwamba atakuwa free msimu ukiisha?..
Nimekupata mkuu.mkataba wake wa awali uliwekewa kipengele cha kuongezewa mwaka mmoja.
![]()
Manchester United trigger Jesse Lingard contract extension | Goal.com
Manchester United have triggered the one-year extension option on Jesse Lingard’s contract, theoretically ensuring that the midfielder could remain at Old Trafford until the summer of 2022.www.goal.com