Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Baada ya My Manager Klopp kuongea haya maneno " Manchester United had more penalties in two years than me in five and a half years."

Wazee wa kubebwa, Wazee wa Penalty za wizi, Mbeleko imeisha sasa.
 
Muda sio mrefu MAJI na MAFUTA Vitajitenga kila kimoja kitarudi sehemu yake.
 
Timu imekuwa strong leo anabadili sana kikosi mech nyingi kapigaa kwa kubadili wachezaji had 6 kikosi kilichomtandika liverpool kilitakiwa kiendelee had na mech ya shefield united
 
Upumbavu mtupu kutoa sare na hawa watoto..

Tumemiss chanses kibao za kufunga.

Rashford bhana,inconsintency ndo kitu ambacho..Tunahitaji competition za hatari kwenye kila namba ili mtu akipewa nafasi ajue ni nini inamaanisha.
 
Ole hamna kitu
Ole hamna kitu
Ole hamna kitu

Unataka ubingwa mpaka Sasa hujashinda game kubwa hata moja kwenye EPL

Hawa wapuuz arsenal Wana quality gani ya kutoa draw na sisi?

Tukipanga kikosi cha combine yetu na arsenal ni mchezaj mmoja tu ndo anaweza pata nafasi.

Hatuwezi chukua ubingwa na huyu kocha. Itakuwa ni kutufariji tu mwisho wa siku nothing
Hakuna wachezaji wakushinda big match hapo, mmejaza hype tu,sijui mtafunga nani now.
 
Arsenal umempa point 4 msimu huu kenge ww alaf unamuita mtoto
Upumbavu mtupu kutoa sare na hawa watoto..

Tumemiss chanses kibao za kufunga.

Rashford bhana,inconsintency ndo kitu ambacho..Tunahitaji competition za hatari kwenye kila namba ili mtu akipewa nafasi ajue ni nini inamaanisha.
 
Nimeangalia mech kwa utulivu sana hii ole anajilewesha kikosi kiliachoanza ndio alitakiwa akitumie timu inacheza vizur sana cavan na fred watu muhimu sana kwa sosha

Hapa ndipo anaweza kutengeneza kikosi cha kwanza kamili

Shida ipo kwa rashford hiki nacho kirusi chief mkwaawa anawatetea sana hawa wapuuzi

Fred fred fred hatakiwi kukosa mech yoyote labda aumwe

Vijana wamecheza vizur sana
Cavani mbona hamumsemi nafasi alizopoteza
Acheni kupendelea
 
Back
Top Bottom