Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu achana na haya manyumbu ..nimeyauliza je unaweza kuifunga Soton, yanaanza kuleta matokeo ya ajabu ajabu wakati mpira wenyewe ulikuwa wa hovyo hovyo tu..
Nyumbu ni Nyumbu tu hawezi kuwa nyati..
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app

IMG_0526.png
 
Nimetoka insta page yetu duuh diallo sidhani kama atafikisha miaka sita pale....
Dogo kama maradona tutamuuza kama tulivyouza ronaldo
Kocha siyo sahihi hivyo atafubaa tu. Hata Bruno akiendelea chini ya kocha huyu hatokuja kupata Ballon d'or
 
Matchday:::: United vs Newcastle

Game kama hizi ni za kushinda comfortably huku tuki-enjoy pira biriani,lakini utashangaa tunaanza ujinga ujinga tena.

====

My Starting XI would be;

====

Henderson

AWB Bailly Maguire Shaw

Fred Matic

Greenwood Fernandes Rashford

Martial

=====

✓Najua Socha atarudi na De Gea pamoja na LINDELOF pale nyuma.

✓CAVANI kama atakuwa 100pc fit basi aanze nafasi ya MARTIAL..if not,MARTIAL aanze

✓Maliza game mapema ili young stars kama AMAD wapate nafasi ya kucheza kwa dakika chache kiasi.

GGMU
 
Matchday:::: United vs Newcastle

Game kama hizi ni za kushinda comfortably huku tuki-enjoy pira biriani,lakini utashangaa tunaanza ujinga ujinga tena.

====

My Starting XI would be;

====

Henderson

AWB Bailly Maguire Shaw

Fred Matic

Greenwood Fernandes Rashford

Martial

=====

✓Najua Socha atarudi na De Gea pamoja na LINDELOF pale nyuma.

✓CAVANI kama atakuwa 100pc fit basi aanze nafasi ya MARTIAL..if not,MARTIAL aanze

✓Maliza game mapema ili young stars kama AMAD wapate nafasi ya kucheza kwa dakika chache kiasi.

GGMU

Kama wakienda na ile mentality ya mech iliyopita ya europa tutafanya vizur

Kocha anatakiwa de gea na lindelof aendelee kuwapa mapumziko

Rashford na kukosa sana magoli anatakiwa kuwepo uwanjan yy na james mech iliyopita walifanya vizur sana wote wana spid
 
Kama wakienda na ile mentality ya mech iliyopita ya europa tutafanya vizur

Kocha anatakiwa de gea na lindelof aendelee kuwapa mapumziko

Rashford na kukosa sana magoli anatakiwa kuwepo uwanjan yy na james mech iliyopita walifanya vizur sana wote wana spid
James games zilizomalizika ndo mzuri,Mfano ushashinda tatu n.k..game kama hii atapotea..hatuwezi kumweka nje Greenwood ili James aanze.
 
Back
Top Bottom