Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Mbona Rashford ndiyo anayemfuatia Bruno kwa assists kwenye kikosi chetu sasa uchoyo unakuwaje ?
Van gaal ndio alikua striker wake tegemeo...huyo rashidiAlibadilishwa baada ya ujio wa ibra na lukaku yule toka kwenye makuz yake ya mpira ni striker
Ndiyo ukweli wenyewe huu.tuwe wakweli wakuu ukimtoa Cavani manchesyer united haina pure number 9 hata mmoja.....
Shida inakuja kwamba hajui kufunga hata sehemu zingine hazihitaji uwe natural striker ili ufunge.Rashford siyo striker ni left winger
Umemaliza..
Tatizo watu wanadhani labda tuna ishu personal na Rashford..Tunataka abadilike

*
Sasa basi awe anatoa pasi ili aepuke lawama anazozipata dunia nzima.
Kajinga sn.★Yeye hata asifunge Goli haituhusu ila awe anatoa Pass kwa watu wengine uchoyo afu anazunguka na mpira mwisho ananyanganywa inakera mpaka natapika hasira*
Mkuu Marcus Rashford debut match yake ilikuwa February 2016 miezi mitatu baadae Van Gaal akawa alifukuzwa na katika kipindi hicho mechi alizocheza Rashford hazizidi 10.Van gaal ndio alikua striker wake tegemeo...huyo rashidi
29 goal contribution per season unasema hajui kufunga?Shida inakuja kwamba hajui kufunga hata sehemu zingine hazihitaji uwe natural striker ili ufunge.
Sasa hivi records zake zikoje ?★Mbona bwana Martial tulimsema sana msimu uloisha nikazembe hakajitahidi baadae mwisho wa msimu alijituma akabadilika mpaka tukamsahau na kusahau makosa yake na hakuna mtu alimponda tena wala kumlalamikia japo kuna Free chances alikuwa anakosa ila potea Pote mtu anajituma★
Ss mbn unakataa sio striker?29 goal contribution per season unasema hajui kufunga?