Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Mkuu hauonagi uchoyo anao ufanya hizo assist anatoaga siku limempanda embu fikiri dogo Rashid kama kwa sasa Pamoja na Uchoyo anamfuatia anae ongoza kutoa assist je asingekuwa mchoyo nafasi anazitoa unaionaje hiyo mvua ya Magoli pale OT yani hizi 9-0 zingekuwa si zakuongeleka sio kakutetea mala kwa mala haka katoto japo kuna muda kanafanya Mazuri ila ujinga wake hauvumiliki na toka kawe ka Daktari ndio kamekuwa Kapuuzi to the fullest ★
Mbona Rashford ndiyo anayemfuatia Bruno kwa assists kwenye kikosi chetu sasa uchoyo unakuwaje ?
 
★Mbona bwana Martial tulimsema sana msimu uloisha nikazembe hakajitahidi baadae mwisho wa msimu alijituma akabadilika mpaka tukamsahau na kusahau makosa yake na hakuna mtu alimponda tena wala kumlalamikia japo kuna Free chances alikuwa anakosa ila potea Pote mtu anajituma★
Umemaliza..

Tatizo watu wanadhani labda tuna ishu personal na Rashford..Tunataka abadilike
 
★Mbona bwana Martial tulimsema sana msimu uloisha nikazembe hakajitahidi baadae mwisho wa msimu alijituma akabadilika mpaka tukamsahau na kusahau makosa yake na hakuna mtu alimponda tena wala kumlalamikia japo kuna Free chances alikuwa anakosa ila potea Pote mtu anajituma★
Sasa hivi records zake zikoje ?
 
★Back on★

#PL duty this Sunday
#GGMU

manutd |
IMG_20210220_165327_885.jpeg
 
★Solskjær on team news against Newcastle: "Paul [Pogba] is out, Phil [Jones] is out. I don’t know how Scott [McTominay] is, don’t know how Edinson [Cavani] and Donny [Van de Beek] will be, either. They have a chance I think.".★

#GGMU

manutd |
 
★Paul Tierney will referee MU vs Newcastle on Sunday. Stuart Attwell on VAR.★

#GGMU

manutd |
IMG_20210220_165030_348.jpeg
 
Back
Top Bottom