Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Second but 7 points behind and even if we beat Manchester City at Etihad they will still have a massive 4 points which will be difficult to overcome...looks today Manchester United has lost most hopes to win the title
PSX_20210214_191234.jpg
 
Sawa April ikifika tutakumbushana..

But,one thing for sure ni kwamba hatuwezi kubeba ligi na hii inconsistency tuliyonayo.

Timu gani inayoweza kumfunga City kwa sasa?..unaona kabisa hamna..ila zinazoweza kumfunga United au kudraw naye zipo kibao tu.
Mkuu nilikupinga bure kabisa yn ulichokisema ni ukweli mtupu kwmb hatuna uwezo wa kugombania ubingwa msimu huu.

Na kinachofanya tushindwe ni makosa haya hapa

1. Backs 4&5, Maguire ni kiumbe mwenye bahati duniani cz licha ya ubovu alionao lkn bado anachezea timu kubwa duniani na ndiye beki aliyenunuliwa kwa pesa nyingi zaidi na isitoshe ndiye captain, aisee inashangaza sana. Linderlof mwili mkubwa kaubongo kadoko hafai kupata namba hata west Bromwich.

2. Martial & Rashford, Ole bado anaamini kwamba hii takataka Martial ipo siku itacheza ktk kiwango kilichotarajiwa, anaingia risk ya kumuanzisha mwisho wake tunaonekana kama tunacheza pungufu mana hamna anachofanya uwanjani. Trashford matatizo yake ni yale yale mambo mengi uwanjani impact ndogo na anajiona star .

So, kwa makosa hayo machache ninayoyaona kila siku haiwezekani kutwaa ubingwa na hata top 4 tujiangalie.
 
Waingereza huharibu wachezaji wao kwa kuwapa vichwa pale wanapochipukia. Hiyo huwafanya kujiona nyota kabla hata hawajawa nyota. Kilichotokea kwa Theo Walcott ndiyo kinatokea kwa Rashford na ndiyo kitatokea kwa Foden na kimekwishatokea kwa Greenwood.

Rashford anapoenda kupiga freekick kwa mfano, utasikia watangazaji wakimsifia kuwa na upigaji sawa na Ronaldo Cristiano! Ukiangalia Rashford kafunga freekick ngapi unabaki kuduwaa.

Nakumbuka mechi ya kwanza Danny Welbeck akiwa amepata nafasi baada ya Rooney kutokuwepo alifunga goli akashangilia kisupastaa. Siku ile ile Ferguson kumrudisha kwenye academy akasema anajiona mkubwa wakati bado sana. Ndiyo sababu Fergie aliweza kufanya wachezaji wake wa kiingereza kuwa wakubwa sana.

Lakini hawa wa leo akifunga goli moja tu vyombo vyote vya habari vinaanza kumfananisha na Ronaldo.
 
Mkuu nilikupinga bure kabisa yn ulichokisema ni ukweli mtupu kwmb hatuna uwezo wa kugombania ubingwa msimu huu.

Na kinachofanya tushindwe ni makosa haya hapa

1. Backs 4&5, Maguire ni kiumbe mwenye bahati duniani cz licha ya ubovu alionao lkn bado anachezea timu kubwa duniani na ndiye beki aliyenunuliwa kwa pesa nyingi zaidi na isitoshe ndiye captain, aisee inashangaza sana. Linderlof mwili mkubwa kaubongo kadoko hafai kupata namba hata west Bromwich.

2. Martial & Rashford, Ole bado anaamini kwamba hii takataka Martial ipo siku itacheza ktk kiwango kilichotarajiwa, anaingia risk ya kumuanzisha mwisho wake tunaonekana kama tunacheza pungufu mana hamna anachofanya uwanjani. Trashford matatizo yake ni yale yale mambo mengi uwanjani impact ndogo na anajiona star .

So, kwa makosa hayo machache ninayoyaona kila siku haiwezekani kutwaa ubingwa na hata top 4 tujiangalie.
Nilisema mkuu ukawa tu unanibishia..unaingia kila mechi unacheza kama fainali vile,utabebaje ubingwa kwa utopolo huo?
 
Back
Top Bottom