Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa atamwanzisha nani wakati ndiyo mabeki alionao ?
Mipira 3 ya juu iliyopigwa langoni mwa Man U kama cross yote imetua vichwani mwa wachezaji wa West Brom. Kweli hakuna anayemzidi Lindelof kati ya mabeki walioko benchi?
 
Dakika ya 24 ushakata tamaa.
We sio shabiki, we ni pis kali.
napitia forums mbalimbali duniani, even mashabiki wa liver na city kwa pamoja wanacriticise referee, unamlaumu vipi victor ama beki kwa clear foul kama hii? mtu anavuta uso anaziba macho yote mawili
tso9w0yragh61.png


ila humu ndani sababu tunapenda kuwa negative basi tunatafuta wanyonge wa kuwatoa kafara.
 
napitia forums mbalimbali duniani, even mashabiki wa liver na city kwa pamoja wanacriticise referee, unamlaumu vipi victor ama beki kwa clear foul kama hii? mtu anavuta uso anaziba macho yote mawili
tso9w0yragh61.png


ila humu ndani sababu tunapenda kuwa negative basi tunatafuta wanyonge wa kuwatoa kafara.
Lindelof kafanyiwa clear foul lakini mashabiki wa united wanamlalamikia yeye.
 
Huyo dogo na yeye akimbwela mutaanza kulia lia, acheni ujinga.

Bailey anarudi muda wowote, hilo tatizo la beki litaisha.

Hata akirudi hamuanzishi, huyu Ole nae ule uscandavia na Lindelof ndo unamponza.. Anamuanzisha kisa ni homeboy
 
sijawahi kuwa na imani na lindeloef kwa miaka 3 sasa.....tukizungunzia uhalisia lindeloef ametucost sana point kwa uzembe na kutokuwa sharp game ile ya southampton jamaa waliyosawazisha dakika mbovu ......

Goli za sevilla zile na game na leipzig pia.....sio mtu wa kuanza labda sub....ajabu Bailly analuwaga mzima kabisa ila Ole anamuanzisha Lindeloef hata akifanya makosa game 2 au 3 mfululizo huwa anamuanzisha tu.
 
Back
Top Bottom