kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Geita GoldNyumbu bila ya VAR, Penalty na Red Card ni sawa na MWADUI FC![]()
Geita GoldNyumbu bila ya VAR, Penalty na Red Card ni sawa na MWADUI FC![]()
Nairagije hana team pia.Wakuu Tumfukuze Ole tumchukue Tony Pulis
Next time usini-quote ukiwa huna cha maana unachoandika.Ulikuwa unawaza EOL kweli ndiyo maana mnaenda kwa waganga.
Mkubwa akijamba usiteme mate.
Najiandaa kuitazama mechi yenu na Leeds, naamini hamtoki.


Compinyoo!Compinyoo!
Na points nyingi zaidi nilizichukulia kwa kibonde manure, lakin hiyo sio hoja, hoja ni zile ramli zako mara ooh leo ushindi kwa manure ni sheriaTimu yako iko nafasi ya 11, huwezi kunijambisha.

baada ya kubananishwa kwenye kona ukaja na ramli chonganishi nyingine eti ooh! Arsenal itafungwa na Leeds 


Compinyoo!!
Lile boko la maguire umeliona....Lile goli lao ni utopolo mtupu..clear foul.
Yet another shambolic perfomance..
Hakuna plan kabisa tunacheza cheza tu.
Rashford mmemuona..hayupo serious kabisa.
Huyu kiumbe mpira anaujua kwakweli.Refa unaniruhusu nipige japo sio penati?View attachment 1702635
Naku Quote na huna la kunifanya.Next time usini-quote ukiwa huna cha maana unachoandika.




HahahaaMkuu Chelsea tuko toka miaka ya 92 uko wakina Giggs na George Best walikuwa ndo makinda. Wakina Erick Cantona unamjua wewe?


nakubali Ollachuga OcWagunge magori mengi wakitaka kushinda mechiNiwe mkweli goli mulilofungwa jana ni Clear foul ambayo ingekuwa kwenye Ligi zetu za Mchangani huku Kimbiji basi huyu Refa tungemdunda mpaka maji aite Mma.
Lakini munajua kwanini Refa hakufanya maamuzi sahihi? Unadhani hakuona? Hapana! Refa aliona ila hakutoa you know why? Hii ni home work yako.
Anacheza chura uyojuu kuna bard tunaomba ulinz kwely nyumbu atabak ku nyumbu pundamlia atabak ku pundamlia
naskia arufu za ubingwa kumbe mlkuaga mna njaaView attachment 1702649
Hahaha angalia hawa matakataka hawaitaji ulinzi tena



Ni kwasababu beki mzembe, mtu yupo nyuma yako wewe upo mbele ya mpira anapigaje kichwa?Niwe mkweli goli mulilofungwa jana ni Clear foul ambayo ingekuwa kwenye Ligi zetu za Mchangani huku Kimbiji basi huyu Refa tungemdunda mpaka maji aite Mma.
Lakini munajua kwanini Refa hakufanya maamuzi sahihi? Unadhani hakuona? Hapana! Refa aliona ila hakutoa you know why? Hii ni home work yako.