Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,316
Mkuu, kwamfano hapo tunamtoa Lindolof angeanza nani kati ya beki tulizo nazo?
Hapo ushindi ni sheria
Hapo ushindi ni sheria
sijawahi kuwa na imani na lindeloef kwa miaka 3 sasa.....tukizungunzia uhalisia lindeloef ametucost sana point kwa uzembe na kutokuwa sharp game ile ya southampton jamaa waliyosawazisha dakika mbovu ......
Goli za sevilla zile na game na leipzig pia.....sio mtu wa kuanza labda sub....ajabu Bailly analuwaga mzima kabisa ila Ole anamuanzisha Lindeloef hata akifanya makosa game 2 au 3 mfululizo huwa anamuanzisha tu.


