Tangu Rui Faria ameachana na Mourinho mwaka 2018 na Mourinho amekuwa na timu dhaifu kuliko kawaida.
Rui Faria kaanza kufanya kazi na Mourinho tangu mwaka 2001 hadi 2018 katika vilabu tofauti tofauti alivyofundisha Mourinho.
Katika kipindi hicho Jose Mourinho alifanikiwa kutengeneza timu imara kweli na kutwaa makombe mengi mpaka kufikia hatua ya kujiita the special one.
Toka ameachana na Rui Faria timu za Mourinho zinabahatisha bahatisha tu.
Je nyuma ya mafanikio ya Mourinho kuna kazi kubwa iliyofanywa na Faria?
Je mporomoko wa sasa wa Mourinho unachangiwa na kukosekana kwa Rui Faria katika benchi lake la Ufundi ?
Daemusin