barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Sosha anawajulia, mkianza lalamika anawaletea matokeo mazuri mnasahau...Mimi huu mjadala ninao moyoni mpaka leo ila humu ndani nimeupumzisha tu....
Juzi juzi tu niliuliza hapa anaejua sosha anatupeleka wapi aniambie maana mimi sielewi hata.....
🤣🤣🤣🤣









