Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie wapuuzi mmeanza mdomo eenh!!!

Za chin ya kapet wachezaj wanamgomo kama Chelsea
 
WE NEED TO BOUNCE BACK STRONGLY..

Arsenal wameanza kutuzoea recently,mechi zimeanza kuwa ngumu utafikiri tunacheza na Liverpool bhana..It's London babies bhana,vijana wapambane tupate ushindi kesho.

Kama kawaida najua Arteta atajaza watu katikati kumaliza nguvu ya creativity katikati ya dimba kwa kuwabana Pogba na Bruno..Pia kufanyia press juu maana backline yetu ikipressiwa inakuwa utopolo..So,Ole ajipange vizuri..We can't afford to loose this again,ila tukiingia kijinga tutapoteza hii game,wameanza kurudi kwenye kujiamini.

°°°°°°°

MY STARTING XI vs ARSENAL

========

Henderson

AWB Bailly Maguire Shaw

Fred McTominay

Rashford Fernandes Pogba

Cavani

========

✓We have to move a ball more quicker..tumekuwa tunacheza slow sana at times na tunawapa wapinzani nafasi ya kujipanga ndo maana possession kwetu haina influence yoyote.

✓Rashford inabidi aongeze work rate yake na pia umakini na akili..sijui ni kocha ndo anamuambiaga asifanye press au laa,sielewi kabisa.

✓Fernandes pia kuna muda inabidi a-calm down,hakuna haja kurisk kila pass..muda mwingine acheze simple pass tu.

✓Maguire bado hajaonyesha kama kweli yeye ni kiongozi japo hata kwenye ile backline tu..Too doggy at times.

✓Pogba tunahitaji more shots outside the box..

GGMU
Sio mkiingia kijinga, yaani hata iweje lazima uliwe unless Fergie arudishwe km kocha hapo kesho.
 
Bayern sawa Ila Liverpool wanafanya nini sasa hivi? Juve pia Ndio vile vile, hili linathibitisha wachezaji ambao ni consistency ni rare sana. Na bayern Ana Bundesliga nzima kupick talent bila kubugudhiwa.

Unless urundike talent kama Man City ulimwengu wa sasa kuna wachezaji wachache sana ambao ni consistency na watakupa Same performance mechi zote 38 za ligi.

Niliweka takwimu za ufungaji na Assist, zimetawaliwa na wachezaji wengi ambao ni 30+, Ronaldo, Messi, lewa, Muller, Suarez etc. Wachezaji wadogo wachache na wengi sio realistic kwa timu yetu ukitoa Sancho.

Kwa Ole anachofanya kusajili young na hungry players tumempata Bruno ambaye at least tu naweza sema ni consistency na ama work rate kubwa hata kama hachezi vizuri.

Cha muhimu philosophy iendelee, waje kina Diallo wengine, zije young talents nyengine, automatic Michele na chuya vitagawanyika.
Kweli kabisa mkuu.
 
WE NEED TO BOUNCE BACK STRONGLY..

Arsenal wameanza kutuzoea recently,mechi zimeanza kuwa ngumu utafikiri tunacheza na Liverpool bhana..It's London babies bhana,vijana wapambane tupate ushindi kesho.

Kama kawaida najua Arteta atajaza watu katikati kumaliza nguvu ya creativity katikati ya dimba kwa kuwabana Pogba na Bruno..Pia kufanyia press juu maana backline yetu ikipressiwa inakuwa utopolo..So,Ole ajipange vizuri..We can't afford to loose this again,ila tukiingia kijinga tutapoteza hii game,wameanza kurudi kwenye kujiamini.

°°°°°°°

MY STARTING XI vs ARSENAL

========

Henderson

AWB Bailly Maguire Shaw

Fred McTominay

Rashford Fernandes Pogba

Cavani

========

✓We have to move a ball more quicker..tumekuwa tunacheza slow sana at times na tunawapa wapinzani nafasi ya kujipanga ndo maana possession kwetu haina influence yoyote.

✓Rashford inabidi aongeze work rate yake na pia umakini na akili..sijui ni kocha ndo anamuambiaga asifanye press au laa,sielewi kabisa.

✓Fernandes pia kuna muda inabidi a-calm down,hakuna haja kurisk kila pass..muda mwingine acheze simple pass tu.

✓Maguire bado hajaonyesha kama kweli yeye ni kiongozi japo hata kwenye ile backline tu..Too doggy at times.

✓Pogba tunahitaji more shots outside the box..

GGMU
Utamlaumu bure pogba Kwa Partey
 
Kama ilivyo kawaida usiku wa deni haukawii kukucha

Mje na mafuta

Mje na lingard

Mje na ambulance

Mje na mzee Ferguson


Mkipigwa chini ya 3 nahama huku chato
 
Mechi tano zilizopita za ligi dhidi ya Arsenal hatujashinda hata moja..
 
Back
Top Bottom