Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Goli la kwanza kwa kuwa yeye anatumia mikono na mpiga kichwa anatumia kichwa, alipaswa kuucheza ule mpira. Huwa ni mwoga/sio aggressive kwenye mipira ya juu ndani ya box
Pia, goli la pili alifanya very poor clearence, ni kama alimpasia adui...ambapo huo mpira ndio ukaja kuleta madhara
Pia, goli la pili alifanya very poor clearence, ni kama alimpasia adui...ambapo huo mpira ndio ukaja kuleta madhara
Zile goli hapaswi hata kulaumiwa