Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu ilo ondoa wasi, leo ushindi ni kama kumsukuma mlevi vile.
Unajua gari letu lishawaka, hata wapinzani wetu wanalijua hilo, ndio maana hawaishi kujamba jamba.

Leo tunarudi pale kileleni, na J/Mos tunaenda kunfyonza ubongo aseno.

Cha kuombea City apoteze game zake (matumaini yangu yapo kwa Livakuku & Tottenham) apo uhakika wa kuinua kwapa upo.

GGMU.
Hahahaha kweli nyie matakataka..unaombea man city apigwe?? Mimi nilitaka nyie mubebe ligi ila saiv nawakataa..
Man City msimu huu anaweza kubeba kama sisi tukikosa
 
Kwa fomu hii tunawaza ubingwa kweli??
premierleague-photo-2021_01_28_08_26.jpg
 
Wacheni uwongo wenu hapa, yn sheffield ndo anaupiga mwingi kuliko utd wkt possession ilifika mpk 80%, sema man imejiamini sn wanaona km watafunga mda wwte kitu ambacho sio vzr, aingie cavani atoe Takataka martial, na Matic pia atoke.

Prediction: man 4-1 sheffield.
unadhani ni rede nin
 
Timu ipo huko mtaa wa bottom line alafu inakuja kushinda OT. kweli OT yetu tumekua shamba la bibi.

Sasa kama bottom team inatufunga nyumbani, nadhan stori za ubingwa tuziache kwanza. Mana vitoto kama hivi city huwa anavishushia kichapo heavy
Pole sana mkuu. Naona umeumia sana nafsi
 
Back
Top Bottom