Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

OLE OUT, martial OUT, TUANZEBE OUT, RASHFORD AANZIAGE NJE, GREENWOOD ACHEZAGE FA au timu ikiwa inaongoza 5, Matic mzee aende, cavani sub player, degea akatafute changamoto kwingine
 
Uzuri nyumbu zikifungwa zinapoaa

Subili zifunge game mbili utasikia sisi mabingwa

Hahaaaa
 
Nitakua mnafiki kama nisipo wasalimu humu, mimi kama friend of Sheffield United.
Jiandae kwa mpapaso mwingine siku ya tarehe 30.
 
Tunakumbushana:
huu ni msimu wa 6 tokea tumsajili Anthony martial, kila member na uoni wake ila kiupande wangu mimi sijayaona mabadiliko ya kutisha kutoka kwake kiasi ambacho niendelee kumuamini kwa miaka mengine 6 au zaidi.

Nafahamu unapokuja mjadala wa martial na rashford huwa ni mgumu sana humu ndani kwa sababu ya takwimu zao ambazo hutuonyesha ukuaji hewa, hivyo basi nategemea kupokea changamoto hiyo kutoka kwa wadau wengine hususani kaka yangu chief mkwawa.

Chukizo la martial ni consistency ya kiuchezaji na ufungaji.

Kilichobaki ni kwenda kumuomba radhi Jose mourinho, jose alikuwa sahihi kwa kila alichomtendea Tony martial
 
VAR na Penalty ndio ushindi wenu
IMG-20210128-WA0005.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bao la pili dee gea alisharuka kwenye timing nzuri aliempoteza ni tuanzebe....
Bao la kwanza yoyote anafungwa
Mendy hafungwi kizembe vile
.hata Kepa sidhani kabisa ..labda wakina Leno uko...
Kubalini hamna kikosi cha kubeba epl.
#CFC
 
Back
Top Bottom