Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huu mjadala haukutakiwa kuisha kizembe hivi sababu ushindi wetu hauakisi ukubwa/ubora wa kikosi chetu.
Itafikia hatua tutamuogopa zaidi Ole Gunnar solskjaer kuliko wapinzani wetu tunaokabiliana nao.
 
Huu mjadala haukutakiwa kuisha kizembe hivi sababu ushindi wetu hauakisi ukubwa/ubora wa kikosi chetu.
Una maanisha nini?

Tuna kikosi dhaifu ila tunapata ushindi more often au tunakikosi bora lakini matokeo mabovu?
 
Tusipochukua ubingwa msimu huu,nitafurahi zaidi kama tutakosa top 4 pia maana UCL pia hakutakuwa na cha maana tunaenda kufanya chini ya Ole.
Tunakumbushana:
huu ni msimu wa 6 tokea tumsajili Anthony martial, kila member na uoni wake ila kiupande wangu mimi sijayaona mabadiliko ya kutisha kutoka kwake kiasi ambacho niendelee kumuamini kwa miaka mengine 6 au zaidi.

Nafahamu unapokuja mjadala wa martial na rashford huwa ni mgumu sana humu ndani kwa sababu ya takwimu zao ambazo hutuonyesha ukuaji hewa, hivyo basi nategemea kupokea changamoto hiyo kutoka kwa wadau wengine hususani kaka yangu chief mkwawa.

Chukizo la martial ni consistency ya kiuchezaji na ufungaji.

Kilichobaki ni kwenda kumuomba radhi Jose mourinho, jose alikuwa sahihi kwa kila alichomtendea Tony martial
 
njia pekee ya nyinyi kua mabingwa wa epl n kuliiba ilo kombe2 #kibondewavibonde
 
Tunakumbushana:
huu ni msimu wa 6 tokea tumsajili Anthony martial, kila member na uoni wake ila kiupande wangu mimi sijayaona mabadiliko ya kutisha kutoka kwake kiasi ambacho niendelee kumuamini kwa miaka mengine 6 au zaidi.

Nafahamu unapokuja mjadala wa martial na rashford huwa ni mgumu sana humu ndani kwa sababu ya takwimu zao ambazo hutuonyesha ukuaji hewa, hivyo basi nategemea kupokea changamoto hiyo kutoka kwa wadau wengine hususani kaka yangu chief mkwawa.

Chukizo la martial ni consistency ya kiuchezaji na ufungaji.

Kilichobaki ni kwenda kumuomba radhi Jose mourinho, jose alikuwa sahihi kwa kila alichomtendea Tony martial
Mkuu mimi nishaandika sana msimamo wangu humu, kama kuna mbadala wa martial ama Rashford ama Greenwood ambaye atatu improve zaidi kiroho Safi sina attachments na mtu zaidi ya Timu.

Ila Pia sitakuwa mtu wa mihemko timu ikishinda kuwa na msimamo huu na ikifungwa niwe na msimamo mwengine, nimeamini juu ya process toka mwanzo na nitaendelea kuamini hivyo hivyo mpaka Ole atakapoondoka na Kuja mwengine.

Tumefungwa na Shefield sawa, iwe wake up call, hope itakuwa chachu ya ushindi kwa mechi zijazo tuanze unbeaten nyengine.

Issue ya Martial tuliwahi iongea na mkuu peter humu, wachezaji wachache sana wa naweza kuwa Apple to Apple comparison, Tuliempata alikuwa ni Raul Jimenez wa Wolves na Ole Pia alikuwa akimuhitaji sema Injury nadhani imeua Usajili wake, Unless Ole anabadili Mfumo wake kuna Complete forward wachache sana ambao wapo level za United na Skillset za complete forward.
 
Mkuu mimi nishaandika sana msimamo wangu humu, kama kuna mbadala wa martial ama Rashford ama Greenwood ambaye atatu improve zaidi kiroho Safi sina attachments na mtu zaidi ya Timu.

Ila Pia sitakuwa mtu wa mihemko timu ikishinda kuwa na msimamo huu na ikifungwa niwe na msimamo mwengine, nimeamini juu ya process toka mwanzo na nitaendelea kuamini hivyo hivyo mpaka Ole atakapoondoka na Kuja mwengine.

Tumefungwa na Shefield sawa, iwe wake up call, hope itakuwa chachu ya ushindi kwa mechi zijazo tuanze unbeaten nyengine.

Issue ya Martial tuliwahi iongea na mkuu peter humu, wachezaji wachache sana wa naweza kuwa Apple to Apple comparison, Tuliempata alikuwa ni Raul Jimenez wa Wolves na Ole Pia alikuwa akimuhitaji sema Injury nadhani imeua Usajili wake, Unless Ole anabadili Mfumo wake kuna Complete forward wachache sana ambao wapo level za United na Skillset za complete forward.
sipo kwenye mjadala wa ole (tumuache aendelee kufanya kazi yake) ila nitakapokuwa na PC huu mjadala wa martial nitajitahidi niukumbushie tena(kijana anakatisha tamaa za kuwa world class),tusisahau msingi wa matatizo haya yanaanzia kwenye ukosefu wa winga wa uhakika kwa miaka 8. martial na rashford wananifanya nisiwe na tambo za ubingwa kwa sababu hawatabiriki
 
sipo kwenye mjadala wa ole (tumuache aendelee kufanya kazi yake) ila nitakapokuwa na PC huu mjadala wa martial nitajitahidi niukumbushie tena(kijana anakatisha tamaa za kuwa world class),tusisahau msingi wa matatizo haya yanaanzia kwenye ukosefu wa winga wa uhakika kwa miaka 8. martial na rashford wananifanya nisiwe na tambo za ubingwa kwa sababu hawatabiriki
Kwa wachezaji wetu tulionao, Mfumo pekee ambao tu naweza wadrop Hao jamaa ni 4 4 2 diamond, ambayo nayo so far ni hit and miss, tulicheza vs RB Leipzig tukawafunga 5 mechi inayofutia tukafungwa na Arsenal. Tukiwa na Diamond tuna take advantage ya Wingi wetu kwenye Midfield na tukicheza na striker wawili (mfano Cavani na Greenwood)

Kwa 4-2-3-1 labda pogba aibie kushoto Ila sidhani kama tu naweza panga kikosi bila ya wao ama mmoja wao kuwepo.

Mwisho wa siku tupo one dimensional, niliongea sana humu mwanzo wa msimu na umuhimu wa Right wing, situation kama hizi, kama unachunguza sometime Martial ama Rashford akipata mpira kushoto anakabwa na Watu hadi wanne, timu pinzani hazina habari kabisa na kulia kwetu, Wan bisaka hadi akaribie box Ndio anakabwa. Chance hatari hatari nyingi Jana zilitoka kwa AWB, imagine tungekuwa na RW mzuri.

Na hakuna sababu ya sisi kutosajili winga, Man city walikuwa na Sane, Sterling, Silva, Mahrez etc kaondoka Sane kaja Torres, kila position Wana Hakikisha kuna Watu wawili WA maana, Form ya silva msimu huu ni mbovu kuliko Martial, goli 1 na assist 1 mechi 19, lakini Hana effect sana sababu talents nyingi, msimu wa juzi alikuwa mchezaji wao bora alivyoumia KDB.

Kipindi cha Mou Martial na Rashford walikuwa wakigombania namba 1, tu naweza sajili mtu kila namba pale mbele kama Telles alivyomuamsha Shaw, kukiwa na ushindani standard zitakua kubwa na performance itaongezeka. Mwisho wa siku alishikilia mpini ni Woodward.
 
Kwa hisani ya THE BLADES leo nchi imetulia.
Hamna ya tunaomba ulinzi wala nini...
😀😀😂😂
 
Kama vipi tuamshe ule mjadala wetu wa #oleout
Mimi huu mjadala ninao moyoni mpaka leo ila humu ndani nimeupumzisha tu....
Juzi juzi tu niliuliza hapa anaejua sosha anatupeleka wapi aniambie maana mimi sielewi hata.....
 
Back
Top Bottom