hawajaongelea kiwango wameongelea rangiKiwango chake kiko chini sana hakuna ubaguzi hapo
hawajaongelea kiwango wameongelea rangiKiwango chake kiko chini sana hakuna ubaguzi hapo
Ukiangalia hapa unaona jinsi timu yetu ilivyokuwa na wavivu wengi ukiacha Bruno.
Maguire hata first eleven hatakiwi kuwepo ila tutafanyaje ilihali tumemnunua kwa pesa nyingi.....Ukiangalia defence yetu pia ni terrible.
Yani inasikitisha.
Tumefungwa goli nyingi kijinga na kizembe.
Maguire awe wa kwanza kubeba lawama. Uwezo wake ni mdogo kuwa kapteni.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Waingereza wakianza kusifiwa ndo basi tena.Maguire hata first eleven hatakiwi kuwepo ila tutafanyaje ilihali tumemnunua kwa pesa nyingi.....
Kuna wakati unahitaji wachezaji team players na wenye work rate kubwa.Kwa wachezaji wetu tulionao, Mfumo pekee ambao tu naweza wadrop Hao jamaa ni 4 4 2 diamond, ambayo nayo so far ni hit and miss, tulicheza vs RB Leipzig tukawafunga 5 mechi inayofutia tukafungwa na Arsenal. Tukiwa na Diamond tuna take advantage ya Wingi wetu kwenye Midfield na tukicheza na striker wawili (mfano Cavani na Greenwood)
Kwa 4-2-3-1 labda pogba aibie kushoto Ila sidhani kama tu naweza panga kikosi bila ya wao ama mmoja wao kuwepo.
Mwisho wa siku tupo one dimensional, niliongea sana humu mwanzo wa msimu na umuhimu wa Right wing, situation kama hizi, kama unachunguza sometime Martial ama Rashford akipata mpira kushoto anakabwa na Watu hadi wanne, timu pinzani hazina habari kabisa na kulia kwetu, Wan bisaka hadi akaribie box Ndio anakabwa. Chance hatari hatari nyingi Jana zilitoka kwa AWB, imagine tungekuwa na RW mzuri.
Na hakuna sababu ya sisi kutosajili winga, Man city walikuwa na Sane, Sterling, Silva, Mahrez etc kaondoka Sane kaja Torres, kila position Wana Hakikisha kuna Watu wawili WA maana, Form ya silva msimu huu ni mbovu kuliko Martial, goli 1 na assist 1 mechi 19, lakini Hana effect sana sababu talents nyingi, msimu wa juzi alikuwa mchezaji wao bora alivyoumia KDB.
Kipindi cha Mou Martial na Rashford walikuwa wakigombania namba 1, tu naweza sajili mtu kila namba pale mbele kama Telles alivyomuamsha Shaw, kukiwa na ushindani standard zitakua kubwa na performance itaongezeka. Mwisho wa siku alishikilia mpini ni Woodward.
Tako lako lime chanika?Na kuchanika kwa tako je?
Bayern sawa Ila Liverpool wanafanya nini sasa hivi? Juve pia Ndio vile vile, hili linathibitisha wachezaji ambao ni consistency ni rare sana. Na bayern Ana Bundesliga nzima kupick talent bila kubugudhiwa.Kuna wakati unahitaji wachezaji team players na wenye work rate kubwa.
Takwimu za kina Rashford na Martial hazitusaidii chochote kama timu.
Leo atacheza vizuri kukupitisha robo fainali kesho atacheza vibaya utolewe nusu fainali.
Juventus, Bayern, Liverpool wana wachezaji wasio na majina makubwa wala takwimu za kutisha. Ila wana team players na wachezaji wana work rate kubwa.
Mechi tulicheza na Liverpool Anfield ulikuwa unaona wazi jinsi wachezaji walivyo wavivu na wazembe. Mpira mabao Martial anaweza kuuwahi wala hata hajisogezi.
Siridhishwi na uchezaji wetu, tunafungwa goli za kizembe, tunapoteza mipira kizembe na tunakosa magoli ya kizembe.