radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Mimi kwanzia tarehe 17 utaona moto wangu ni mwendo wa WWWWWWW.....atugawi point tena kwa timu ndogo tumewapa za kutosha wakubwa wanajua moto wetu
Sawa sawa kikubwa uhai tu
Mimi kwanzia tarehe 17 utaona moto wangu ni mwendo wa WWWWWWW.....atugawi point tena kwa timu ndogo tumewapa za kutosha wakubwa wanajua moto wetu
Kakojoe ulale.Siwezi kukushangaa maana timu unayoshabikia hamna jukwaa utakwenda wapi zaidi ya kudandia nyuzi za wanaume hizi taarabu ndio mnazoimba kwenu? Sisi mbeya hamna huo upuuzi
Mdada wa martialHebu tuache kidogo.
Asbuhi hi tu ushavamia majumba ya watu, bro vipi?
Kumbe tarehe 17Hii sentence nitakuja kuifufua tarehe 17, kipindi ambacho utakua tayari ushabadili id.
Uyu mbwa mnamuita messiOur new guy View attachment 1671147

Kakojoe ulale.
Our new guy View attachment 1671147
City anapigwa. Ngoja nikupe formula moja ya haraka kujua matokeo(japo haifanyi kazi kwa 100%).
Angalia matokeo mechi za mwisho kwa timu zinazokwenda kukutana.
Mechi za mwisho kwa City na United
Manchester United 2 - 1 Aston Villa
Chelsea 1 - 3 Manchester City.
Mwenye goal difference kubwa Kati ya city na United katika mechi hizo ni City, hivyo City atapigigwa.
Kama huamini, fukua hii post baada ya mechi.










. City anapigwa. Ngoja nikupe formula moja ya haraka kujua matokeo(japo haifanyi kazi kwa 100%).
Angalia matokeo mechi za mwisho kwa timu zinazokwenda kukutana.
Mechi za mwisho kwa City na United
Manchester United 2 - 1 Aston Villa
Chelsea 1 - 3 Manchester City.
Mwenye goal difference kubwa Kati ya city na United katika mechi hizo ni City, hivyo City atapigigwa.
Kama huamini, fukua hii post baada ya mechi.
Unashida kichwani haya mambo ya kike unaleta kama ww ni mwanamke upo sahihi hizi ndio taarabu sasa ambazo unafundishwa na dada zako mkikaa vibalazani wanaume huwa hatutumii hii misemo
Unamaanisha Arteta ni mzuri kimbinu?Ole akikabidhiwa Arsenal ya sasa anaishusha daraja. Jamaa siyo mzuri kimbinu.
Kaka Ole mpo naye kwa muda gani? Nini kimekua? Bora niwe na kocha msaidizi kuliko kocha mkuu mwenye historia ya kushusha timu darajaUnamaanisha Arteta ni mzuri kimbinu?
Arteta huyu aliekua mpanga koni wa Guardiola!
Bola nibaki na Sorskjaer.
No, wa 17.
Now tuchukulie upo sahihi kua wote ni vibonde.
Ole kashashusha timu daraja. Arteta bado.
Ole ashafeli kuwavusha semi nne. Arteta bado.
Ole hajatengeneza muunganiko wa kueleweka mpaka sasa. Arteta tayari.
Ole hajapata trophy bado. Arteta tayari.
Ole hajui muda wa sub. Arteta hajui muda wa sub pia.
Tunakutana in a few weeks. Itakua chansi ya Ole kudhihirisha kua Arteta amembahatisha kila Arsenal na United zilipokutana.
Eh ushaanza matusi tayari.Kwahiyo aseno yenye muunganiko ndio hii?
Mashabiki wa aseno muna mahaba (kwa timu yenu) ya kijinga kweli.
Timu liko nafasi ya 11 alie nyuma yake kamzidi idadi ya magoli tu, wa tatu nyuma yake kamzidi point 1 tu, alafu anatokea kiumbe anasema Arteta kajenga muunganiko wa timu, huo si upuuzi jamani?
Hii timu, mwaka wa kuongoza ligi japo kwa points 3 tu, tutakua hatulali wala hatutembei.
City anapigwa. Ngoja nikupe formula moja ya haraka kujua matokeo(japo haifanyi kazi kwa 100%).
Angalia matokeo mechi za mwisho kwa timu zinazokwenda kukutana.
Mechi za mwisho kwa City na United
Manchester United 2 - 1 Aston Villa
Chelsea 1 - 3 Manchester City.
Mwenye goal difference kubwa Kati ya city na United katika mechi hizo ni City, hivyo City atapigigwa.
Kama huamini, fukua hii post baada ya mechi.














Hahahahahahahaha![]()
Huu uzi umejaa wagojwa wa ubongo
Kaka Ole mpo naye kwa muda gani? Nini kimekua? Bora niwe na kocha msaidizi kuliko kocha mkuu mwenye historia ya kushusha timu daraja