Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndo kilichowafanya muwe Europa league game za pressure hamziwezi tuachieni hizo liver na man city

Hahahhaa liverpool alichukua uefa 1980's kaja 2005 kaja 2018 hiyo miaka yote alikuwa wapi kama hana pressure?
 
Halland anatua Chelsea, kuna mtu ana swali hapa kuhusu pesa ya Abromovich. Kama yupo nyoosha kidole jifanye unajikuna.
Pesa hata united wanayo.

Na Haaland akienda united ana urahisi wa kupata namba kuliko chelsea. United STs ni Ighalo, Cavani na Greenwood (Sijamtaja Martiala na Rashford kwakua naturally hawa ni LW)

Na united ina historia kubwa kuliko chelsea.

Ina AM anayejua kulisha mipir STs kuliko Havertz.

Swali; Kwahiyo Chelsea mshaona Werner na Mendy ni viazi tayari?
 
So far 2 points out 12 from big six opposition Bila kuwapiga wapinzani wako usitegemee ubingwa kabisa

Hii point unaitoa wapi wewe? Msimu uliopita sosha alichukua point 1 kwa liverpool na akafungwa na arsenal alichukua ubingwa? Au liverpool alishinda mech zote za big six kuwa bingwa?
 
Last season liverpool vs big six. City 3pts, Man u 4pts, Chelsea 6pts, Spurs 6pts, Arsenal 3pts total 22 points out of 30 pts ukitaka ubingwa lazima uchukuwe point za kutosha kwenye hizi games
Hii point unaitoa wapi wewe? Msimu uliopita sosha alichukua point 1 kwa liverpool na akafungwa na arsenal alichukua ubingwa? Au liverpool alishinda mech zote za big six kuwa bingwa?
 
Last season liverpool vs big six. City 3pts, Man u 4pts, Chelsea 6pts, Spurs 6pts, Arsenal 3pts total 22 points out of 30 pts ukitaka ubingwa lazima uchukuwe point za kutosha kwenye hizi games

Leicester city alichukua ubingwa kwa kufanya hivyo?
 
Ole akikabidhiwa Arsenal ya sasa anaishusha daraja. Jamaa siyo mzuri kimbinu.

Arteta na ole wale wale tu utofaut unakuja mmoja alibahatika kubeba kombe mwingine hana bahat ana mbinu gan arteta yupo wa 14 au 15 huko yaani had kocha wa aston villa kawashinda kwa kucheza mpira safi
 
Naona Kama ole Gunnar msimu huu big games anakua outsmarted kwanini msimu uliopita aliwapiga vzr ?
 
Arteta na ole wale wale tu utofaut unakuja mmoja alibahatika kubeba kombe mwingine hana bahat ana mbinu gan arteta yupo wa 14 au 15 huko yaani had kocha wa aston villa kawashinda kwa kucheza mpira safi
Arsenal ya 14? Wewe deal na Ollachuga na wenzake kwanza.
 
No, wa 17.

Now tuchukulie upo sahihi kua wote ni vibonde.

Ole kashashusha timu daraja. Arteta bado.

Ole ashafeli kuwavusha semi nne. Arteta bado.

Ole hajatengeneza muunganiko wa kueleweka mpaka sasa. Arteta tayari.

Ole hajapata trophy bado. Arteta tayari.

Ole hajui muda wa sub. Arteta hajui muda wa sub pia.

Tunakutana in a few weeks. Itakua chansi ya Ole kudhihirisha kua Arteta amembahatisha kila Arsenal na United zilipokutana.
 
Back
Top Bottom