Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kutolewa carabao siyo mwisho wa matumain ya kushinda mechi zilizopo mbele ila sijapenda Kocha kutofanya Sub za mapema rashfod na martial ni walaini na hawawez tumia nafasi vizuri nilitegemea amtoe mmoja hasa martial mapema tu lkn approach ya Kocha ni martial atafute penalty hapo kazingua mno ..

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Huyu mwl mbwa sana huyu sijui kile ki Martial anakipendea nini aisee,
 
Huyu mwl mbwa sana huyu sijui kile ki Martial anakipendea nini aisee,
Hatuna mchezaji wa kumuweka benchi Matial.
Kweli kwa msimu huu kapungua ubora, lakini sio mchezaji wa kuanzia benchi.
 
Mfano kweli mkamsajili Grealish kama mnavyotaka halafu atacheza wapi?

Kuna wachezaji wako vizuri wakiwa timu A as huko wanakuwa treated as gods. Kila anayepata mpira anampa yeye, yeye anaamua uende wapi. Na nyinyi mtu huyo mnaye tayari, Fernandes, na wanacheza namba moja.

Ikatokea Grealish kaja maana yake aanze kupambania namba na Fernandes. Jambo gumu ukizingatia huko alipotoka yeye ndiye mungu wao, na hata akipambania am sure atashindwa as Fernandes ana stats nzuri kumzidi.

So sioni huu uhamisho ukiwezekana. Labda kama atakuja kwa kuhitaji pension ya kuzeekea. Ni kama Song alivyoenda Barcelona kugombea namba na Busquets, au Donnarumma anavyohusishwa na chelsea.
 
Hii tournament mkisuluhu ndiyo mnarudiana ukipigwa mambo yanaishia hapo.

No, FA ndo ilikuwa mkisuluhu mnarudiana, ila nayo wameiondoa msimu huu.

Hii haikuwa na kurudiana isipokuwa nusu fainali ndo ilikuwa na home and away, game zingine zote ilikuwa ni game 1 tu.

Mfano last season Man Utd vs City - Semi ilikuwa Man Utd 1 - Man City 3 (OT), then wakarudiana Man City 0 - Man Utd 1 (Etihad).
 
Mfano kweli mkamsajili Grealish kama mnavyotaka halafu atacheza wapi?

Kuna wachezaji wako vizuri wakiwa timu A as huko wanakuwa treated as gods. Kila anayepata mpira anampa yeye, yeye anaamua uende wapi. Na nyinyi mtu huyo mnaye tayari, Fernandes, na wanacheza namba moja.

Ikatokea Grealish kaja maana yake aanze kupambania namba na Fernandes. Jambo gumu ukizingatia huko alipotoka yeye ndiye mungu wao, na hata akipambania am sure atashindwa as Fernandes ana stats nzuri kumzidi.

So sioni huu uhamisho ukiwezekana. Labda kama atakuja kwa kuhitaji pension ya kuzeekea. Ni kama Song alivyoenda Barcelona kugombea namba na Busquets, au Donnarumma anavyohusishwa na chelsea.
Aje tu ili Bruno wkt mwingine awe anapumzika.
 
Back
Top Bottom