Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Fernandes

#ArtWork

manutd |
IMG_20210104_001022_373.jpeg
 
★Pep Guardiola: "I am pretty sure Ole [Gunnar Solskjær] is happier than me – but I am not concerned too much about MU. If United are there [in the title race] it is because they deserve it.".★

#GGMU

manutd |
 
Nasubiri mpaka January mwishoni ndio niamini Man U tuko kwenye Title race.

Tukimaliza January huku tunaongoza au anaengoza ligi tuko nae kwa tofauti ya pointi 2-3.
Nitaanza kuwa na matumaini.

Kwa Sasa bado Sina matumaini ya kuchukua ubingwa.
Infact bado tuna kazi kubwa. Ukiangalia game nyingi tunazocheza, tuna-loose possession so easily na ku-win back possession takes many minutes na inaambatana na fouls.

Wafanyie mazoezi hayo majambo hasa kukaba bila kucheza fouls
 
Baada ya kuvunja vunja lile daraja la pale london

Kituo kinachofuata ni OT

Nyie nyumbu mtaeleza ile sare 0-0 mliitoa wapi
 
Kwa hali ya kawaida Man Utd hana kikos cha kumfunga City

City tunacheza mpira

Nyumbu mnababatiza
 
Kwa hali ya kawaida Man Utd hana kikos cha kumfunga City

City tunacheza mpira

Nyumbu mnababatiza
We popoma lini mara ya mwisho umeifunga United nyi si ndo mmekufa nje ndani msimu uliopita mmegeuzwa ka chapati.Derby ilikuwa juzi tu umeshindwa kupata goli mbona una akili za king'ombe unasahau haraka hivyo

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
We popoma lini mara ya mwisho umeifunga United nyi si ndo mmekufa nje ndani msimu uliopita mmegeuzwa ka chapati.Derby ilikuwa juzi tu umeshindwa kupata goli mbona una akili za king'ombe unasahau haraka hivyo

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
Carabao si tuliwabomoa nyie gori 3 mkafunga vilago

This time tunakuja kuwatoboa tena chumban kwenu hapo OT
 
Kwa hali ya kawaida Man Utd hana kikos cha kumfunga City

City tunacheza mpira

Nyumbu mnababatiza
City anapigwa. Ngoja nikupe formula moja ya haraka kujua matokeo(japo haifanyi kazi kwa 100%).

Angalia matokeo mechi za mwisho kwa timu zinazokwenda kukutana.

Mechi za mwisho kwa City na United
Manchester United 2 - 1 Aston Villa
Chelsea 1 - 3 Manchester City.

Mwenye goal difference kubwa Kati ya city na United katika mechi hizo ni City, hivyo City atapigigwa.

Kama huamini, fukua hii post baada ya mechi.
 
City anapigwa. Ngoja nikupe formula moja ya haraka kujua matokeo(japo haifanyi kazi kwa 100%).

Angalia matokeo mechi za mwisho kwa timu zinazokwenda kukutana.

Mechi za mwisho kwa City na United
Manchester United 2 - 1 Aston Villa
Chelsea 1 - 3 Manchester City.

Mwenye goal difference kubwa Kati ya city na United katika mechi hizo ni City, hivyo City atapigigwa.

Kama huamini, fukua hii post baada ya mechi.


Aiseee
 
Back
Top Bottom