Kamugy T
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,110
- 1,226
Nilishasema leteni ushahidi wa bingwa aliyechukuwa EPL Bila kushinda big game kimya mnabaki na mifano isiyo na mantick
Kumbe wewe bure kabisa kwa taarifa yako moja ya vitu vilivyomsumbua sana Arsene Wenger akiwa manager Wa Arsenal kuchukua ubingwa ni hilo la kukomaa kwa big four wenzake ilihali wadogo wakawa wanampa shida. Sasa kimahesabu tu, big six wanajieleza wako Sita na hawa wadogo wengine wako wangapi? Unakomaa na big six zaidi halafu unapoteza game nyingi kwa hao kina Burnley na wenzake unahisi utachukua ndoo!?

