Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
*And the Citizens pursued the devil out of Manchester with Stones
Peter Drury
*
Peter Drury

*
*Hiki ulichokiandika hakina tofauti na mtu akisema"ili kweli tuseme wewe una bilioni moja benki inabidi uwe unatumia milioni mbili kwa siku"wakati njia nzuri ilikuwa ni kuomba kuonyeshwa bank statement".
Anyway..tuishie hapa mkuu
We endelea kujisifu kuwafunga wakina Southampton na brighton uone mwisho wa msimu utaishia wapi
Hahahahahahaha










Bila nyie hakuna ladha ya soka. 😂Hahahahahahaha![]()
Ndio ndio mkuu![]()



















Hawezi kukijibu..Nimemuuliza wakat liverpool anaitwa kiboko ya wakubwa kwa kuwafunga vigogo miaka ya katikati alibeba ubingwa wa england kwa hizo takwimu zake yupo kimya yaani timu 6 ni nyingi kushinda hawa wakina wolves
Msimu ulioisha sisi tulipata point 18 dhidi ya top 6 halafu top 4 kuingia ikawa mbinde had mech ya mwisho tena kwa tochi ina maana point nyingi tulipoteza kwa timu za kati arsenal kamfunga chelsea na united halafu wa 11 hiyo imekaaje kwa huyo mtaalam wa liverpool?
Hizo veve unazokula hapo kwa mworombooo ziache mzee.Hahahahahahahaha![]()
Watoto wa tajiri huwa hawadoei msosi kwa jirani
Nimemuuliza wakat liverpool anaitwa kiboko ya wakubwa kwa kuwafunga vigogo miaka ya katikati alibeba ubingwa wa england kwa hizo takwimu zake yupo kimya yaani timu 6 ni nyingi kushinda hawa wakina wolves
Msimu ulioisha sisi tulipata point 18 dhidi ya top 6 halafu top 4 kuingia ikawa mbinde had mech ya mwisho tena kwa tochi ina maana point nyingi tulipoteza kwa timu za kati arsenal kamfunga chelsea na united halafu wa 11 hiyo imekaaje kwa huyo mtaalam wa liverpool?
Acha ujinga dogo.
Sisi tuko juu ya msimamo wa ligi, acha tufanye yetu.
Hatuwezi kutokwa na kijasho cha ulimi kisa kombe la mbuzi na mchele kilo 50.
Tarehe 17 nafuta makosa.



wee jamaaa una maneno kisen g eAliyekuwa anakuwa bingwa hiyo misimu naye pia alikuwa anachukuwa point za kutosha from big games sio liverpool pekee yake fuatilia kwenye mtandao ujionee
Na kuchukua point nyingi kwa timu kubwa kisha unapigwa na timu za kati unawezaje kuwa bingwa?