Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,637
Huyu mzee wa Arumeru anatimuliwa lini?
Ukimpa Morinho hela alete wachezaji anaowataka.Sahihi kabisa. Hiyo ni sababu mojawapo makocha wakubwa huwa na vikombe vingi kibindoni. Pep pia kwa mfano; mwaka wake wa kwanza na City hakuhangaika na kubeba league alitumia msimu ule kujenga kikosi huku akiwekea mahesabu vikombe vilivyowezekana. Sometimes kutaka kubeba kila kitu ilhali haiwezekani huwafanya hawa makocha wadogo wasifanikiwe.
Man U yetu inatuchonganisha😴😴We ungekua kocha ungemuacha Wan Bissaka ili uwe offensive?
Mbona na wewe ungefeli kama ndiyo hivyo.
Hii ni point kubwa sana.When a player makes a mistake, a player made a mistake.
When many players make mistakes, the system is the mistake.
Bielsa mbinu zake zinaenda na wachezaji underdogs..wasio na majinaYule kocha ni nuksi sana. Katika makocha natamani waje kufundisha Chelsea basi Bielsa ndio napenda zaidi. Huyu kocha namuelewa sana, mbinu zake ni full kushambulia tena kwa kasi kama huna beki imara ndio utajuta kwann umekutana nae.
Tena Bielsa ukijifanya unajibu mapigo yake ya kushambulia mamaaaaa hapo umekwisha mapema tu. Refer ile game anacheza na Chelsea, mwanzo kabisa Leeds walianza na moto sio mchezo sasa Chelsea akaiga kushambulia ikapigwa kaunta ya kushtukiza pasi ikamfikia Phillips, kisha Phillips akatoa assist kwa Bamford likawa goli mapema tu dakika za mwanzo kabisa. Sema Lampard aliusoma mchezo mapema baada ya hivyo akaona isiwe kesi akatulia akaachana na ishu za kushambulia kama Leeds akawa mpole akarudisha goli na kuongeza mawili.
Mfano mzuri mwingine ni ule wa Leeds na LOSERKUKU hapa wote walikutana wazee wa kushambulia, hapa walikuwa wanaviziana yaani one mistake one goal. Ile game ilikuwa ukizubaa tu ni chuma ndio maana ile mechi iliisha kwa magoli mengi mno 4 kwa 3.
Sasa Bielsa akikutana na nyie si atawabaka kabisa, kwa beki zenu hizo sijui Magure, Lindelof Hahaaa. Mtakuwa mnashituka tu huyu hapa Bamford
![]()
Huyu mzee kiazi sana★Solskjaer: “As a footballer you can’t feel sorry for yourself: you can feel sorry for yourself for a few minutes and then focus on Saturday.”★
manutd |
Of courseMan Utd are always the Record wRecker,safari ndio imeshaanza na Arsenal wanajua shughuli yao na Everton,Wakawaulize vijana wa bolton.Everton wana hasira ya kufungwa na Man.
Man Utd haikamatiki,ni sawasa na kutaka kukata mti mkubwa kwa kutumia wembe.
Nadhani sasa ni wakati wa kuacha kujificha kwenye majani ya mchicha tukitegemea kuwa matone ya mvua hayatatufikiaSolskjær anachagua timu kwa ajili ya mechi, wenzake wanachagua mipango kwa ajili ya mechi yenye kuambatana na well-drilled movements (jinsi gani adui atajiandaa na kuweza kumdhibiti).
angelino anafahamu fika ni eneo gani anapaswa kuwepo na nini cha kufanya pindi anapokuwa na mpira eneo fulani, kwa mfano kabla ya kupiga krosi tayari alikwishafahamu haidara atajiweka eneo fulani.
niliwahi kumsikia ole akisema yeye ni muumini mkubwa wa klopp na style yake ya uendeshaji wa timu, ukiwaangalia wawili hao wanachokifanya unagundua ya kwamba ole ni pragmatic manager na si progressive manager na kwa miaka hii miwili anazidi kutuonyesha ya kwamba si mwalimu mwenye uwezo wa kuitransform team kupitia mazoezi ukimlinganisha na huyo rolemodel wake
jamaa pumzi yake imekata, kwa kocha anayejielewa hahitaji kuwa na wachezaji bora 15 ili aweze kucheza soka la kiwango cha juu dhidi ya crystal palace, west bromwich, waturuki, psg iliojifia, southampton, arsenal na west ham huku ukiendelea kuomba upewe muda ujenge timu bora ya wachezaji 25(hata madrid na barcelona hawakuwahi kuwa na wachezaji bora 25 kwenye kikosi chao)
ole amejaaliwa kuwa na kikosi bora baada ya liverpool na man city lakini jinsi inavyocheza unaweza kudhani ni genge la wahuni linalohitaji overhaul ya wachezaji 10 kwa kila msimu
Sina sababu kuwa tunahitaji SanchoBodi ina makosa yapi uwanjani?
Niambie mchezaji aliekosa Ole mpaka afanye vibaya hivyo?
Kwamba Sancho pekee ndo amfanye Ole afanye vibaya?


Kumbe unajua kuchambuaYule kocha ni nuksi sana. Katika makocha natamani waje kufundisha Chelsea basi Bielsa ndio napenda zaidi. Huyu kocha namuelewa sana, mbinu zake ni full kushambulia tena kwa kasi kama huna beki imara ndio utajuta kwann umekutana nae.
Tena Bielsa ukijifanya unajibu mapigo yake ya kushambulia mamaaaaa hapo umekwisha mapema tu. Refer ile game anacheza na Chelsea, mwanzo kabisa Leeds walianza na moto sio mchezo sasa Chelsea akaiga kushambulia ikapigwa kaunta ya kushtukiza pasi ikamfikia Phillips, kisha Phillips akatoa assist kwa Bamford likawa goli mapema tu dakika za mwanzo kabisa. Sema Lampard aliusoma mchezo mapema baada ya hivyo akaona isiwe kesi akatulia akaachana na ishu za kushambulia kama Leeds akawa mpole akarudisha goli na kuongeza mawili.
Mfano mzuri mwingine ni ule wa Leeds na LOSERKUKU hapa wote walikutana wazee wa kushambulia, hapa walikuwa wanaviziana yaani one mistake one goal. Ile game ilikuwa ukizubaa tu ni chuma ndio maana ile mechi iliisha kwa magoli mengi mno 4 kwa 3.
Sasa Bielsa akikutana na nyie si atawabaka kabisa, kwa beki zenu hizo sijui Magure, Lindelof Hahaaa. Mtakuwa mnashituka tu huyu hapa Bamford
![]()



Labda ukimsikiza Demba Ba hapa unaweza elewa zaidi. Ila anachodai yeye ni kwamba fourth oficial alivyomtambulisha kwa refa si vile anavyotambulisha wazungu. Mfano alimwambia "Book that black guy"! Kitu ambacho demba anasema mbona ingekuwa kwa mzungu mnasema "Book that guy!?"Kwahiyo ukiitwa brown kwa rangi yako uliyoisema hapo utakubali? Weusi umetofautiana ila wote ni weusi. Unewahi sikia njano iliyokolea/kuivia na njano mpauko? Zote hizo ni njano. Umewahi kuona ama kusikia bluebahari? Na blue za kaptura za watoto wa shule za msingi? Zote ni blue. Sasa iwe brown ama ckokoleti au mangara au weusi kama mkurungu hizo zote ni nyeusi.
Mtizame binti huyu aliye pembeni ya wenzake
Halafu umwite black girl aanze kuvuta mdomo
View attachment 1645352
Lakini pia hawa wasuatao uwaite nyie mabinti weusi naomba kuzungumza nanyi halafu nawao wavute midomo kisa wameitwa hivyo?
View attachment 1645353View attachment 1645354
Ama ukibisha na hapa mchukue mdogo wako au katoto ka dadako ukaambie nani mweupe hapo na nani mweusi hapo halafu uje na majibu.
Tatizo Waafrika hatujiamini na hatujikubali kiasi cha kwamba tumekubali fahari yetu kugeuka kuwa matusi, tumeshindwa kui brand rangi yetu kuonekana yenye thamani tumebaki kulia lia tu.Labda ukimsikiza Demba Ba hapa unaweza elewa zaidi. Ila anachodai yeye ni kwamba fourth oficial alivyomtambulisha kwa refa si vile anavyotambulisha wazungu. Mfano alimwambia "Book that black guy"! Kitu ambacho demba anasema mbona ingekuwa kwa mzungu mnasema "Book that guy!?"View attachment 1645950