Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sahihi kabisa. Hiyo ni sababu mojawapo makocha wakubwa huwa na vikombe vingi kibindoni. Pep pia kwa mfano; mwaka wake wa kwanza na City hakuhangaika na kubeba league alitumia msimu ule kujenga kikosi huku akiwekea mahesabu vikombe vilivyowezekana. Sometimes kutaka kubeba kila kitu ilhali haiwezekani huwafanya hawa makocha wadogo wasifanikiwe.
Ukimpa Morinho hela alete wachezaji anaowataka.

Anaweza kukupa vikombe mpaka ushangae.

Ila usimfanyie kama Ed alivyomfanyia.
 
Yule kocha ni nuksi sana. Katika makocha natamani waje kufundisha Chelsea basi Bielsa ndio napenda zaidi. Huyu kocha namuelewa sana, mbinu zake ni full kushambulia tena kwa kasi kama huna beki imara ndio utajuta kwann umekutana nae.

Tena Bielsa ukijifanya unajibu mapigo yake ya kushambulia mamaaaaa hapo umekwisha mapema tu. Refer ile game anacheza na Chelsea, mwanzo kabisa Leeds walianza na moto sio mchezo sasa Chelsea akaiga kushambulia ikapigwa kaunta ya kushtukiza pasi ikamfikia Phillips, kisha Phillips akatoa assist kwa Bamford likawa goli mapema tu dakika za mwanzo kabisa. Sema Lampard aliusoma mchezo mapema baada ya hivyo akaona isiwe kesi akatulia akaachana na ishu za kushambulia kama Leeds akawa mpole akarudisha goli na kuongeza mawili.

Mfano mzuri mwingine ni ule wa Leeds na LOSERKUKU hapa wote walikutana wazee wa kushambulia, hapa walikuwa wanaviziana yaani one mistake one goal. Ile game ilikuwa ukizubaa tu ni chuma ndio maana ile mechi iliisha kwa magoli mengi mno 4 kwa 3.

Sasa Bielsa akikutana na nyie si atawabaka kabisa , kwa beki zenu hizo sijui Magure, Lindelof Hahaaa. Mtakuwa mnashituka tu huyu hapa Bamford
Bielsa mbinu zake zinaenda na wachezaji underdogs..wasio na majina

Huwezi kumkimbiza Pogba na Martial Kwa style za Bielsa..
Watamgomea au atawaweka benchi mtalia lia..

Wachezaji ma superstar hawawezi mziki wa Bielsa wa wa kusahambulia non stop..
 
Man Utd are always the Record wRecker,safari ndio imeshaanza na Arsenal wanajua shughuli yao na Everton,Wakawaulize vijana wa bolton.Everton wana hasira ya kufungwa na Man.
Man Utd haikamatiki,ni sawasa na kutaka kukata mti mkubwa kwa kutumia wembe.
Of course
 
Solskjær anachagua timu kwa ajili ya mechi, wenzake wanachagua mipango kwa ajili ya mechi yenye kuambatana na well-drilled movements (jinsi gani adui atajiandaa na kuweza kumdhibiti).

angelino anafahamu fika ni eneo gani anapaswa kuwepo na nini cha kufanya pindi anapokuwa na mpira eneo fulani, kwa mfano kabla ya kupiga krosi tayari alikwishafahamu haidara atajiweka eneo fulani.

niliwahi kumsikia ole akisema yeye ni muumini mkubwa wa klopp na style yake ya uendeshaji wa timu, ukiwaangalia wawili hao wanachokifanya unagundua ya kwamba ole ni pragmatic manager na si progressive manager na kwa miaka hii miwili anazidi kutuonyesha ya kwamba si mwalimu mwenye uwezo wa kuitransform team kupitia mazoezi ukimlinganisha na huyo rolemodel wake

jamaa pumzi yake imekata, kwa kocha anayejielewa hahitaji kuwa na wachezaji bora 15 ili aweze kucheza soka la kiwango cha juu dhidi ya crystal palace, west bromwich, waturuki, psg iliojifia, southampton, arsenal na west ham huku ukiendelea kuomba upewe muda ujenge timu bora ya wachezaji 25(hata madrid na barcelona hawakuwahi kuwa na wachezaji bora 25 kwenye kikosi chao)
ole amejaaliwa kuwa na kikosi bora baada ya liverpool na man city lakini jinsi inavyocheza unaweza kudhani ni genge la wahuni linalohitaji overhaul ya wachezaji 10 kwa kila msimu
Nadhani sasa ni wakati wa kuacha kujificha kwenye majani ya mchicha tukitegemea kuwa matone ya mvua hayatatufikia
 
Yule kocha ni nuksi sana. Katika makocha natamani waje kufundisha Chelsea basi Bielsa ndio napenda zaidi. Huyu kocha namuelewa sana, mbinu zake ni full kushambulia tena kwa kasi kama huna beki imara ndio utajuta kwann umekutana nae.

Tena Bielsa ukijifanya unajibu mapigo yake ya kushambulia mamaaaaa hapo umekwisha mapema tu. Refer ile game anacheza na Chelsea, mwanzo kabisa Leeds walianza na moto sio mchezo sasa Chelsea akaiga kushambulia ikapigwa kaunta ya kushtukiza pasi ikamfikia Phillips, kisha Phillips akatoa assist kwa Bamford likawa goli mapema tu dakika za mwanzo kabisa. Sema Lampard aliusoma mchezo mapema baada ya hivyo akaona isiwe kesi akatulia akaachana na ishu za kushambulia kama Leeds akawa mpole akarudisha goli na kuongeza mawili.

Mfano mzuri mwingine ni ule wa Leeds na LOSERKUKU hapa wote walikutana wazee wa kushambulia, hapa walikuwa wanaviziana yaani one mistake one goal. Ile game ilikuwa ukizubaa tu ni chuma ndio maana ile mechi iliisha kwa magoli mengi mno 4 kwa 3.

Sasa Bielsa akikutana na nyie si atawabaka kabisa , kwa beki zenu hizo sijui Magure, Lindelof Hahaaa. Mtakuwa mnashituka tu huyu hapa Bamford
Kumbe unajua kuchambua
 
Kwahiyo ukiitwa brown kwa rangi yako uliyoisema hapo utakubali? Weusi umetofautiana ila wote ni weusi. Unewahi sikia njano iliyokolea/kuivia na njano mpauko? Zote hizo ni njano. Umewahi kuona ama kusikia bluebahari? Na blue za kaptura za watoto wa shule za msingi? Zote ni blue. Sasa iwe brown ama ckokoleti au mangara au weusi kama mkurungu hizo zote ni nyeusi.

Mtizame binti huyu aliye pembeni ya wenzake
Halafu umwite black girl aanze kuvuta mdomo


View attachment 1645352
Lakini pia hawa wasuatao uwaite nyie mabinti weusi naomba kuzungumza nanyi halafu nawao wavute midomo kisa wameitwa hivyo?
View attachment 1645353View attachment 1645354
Ama ukibisha na hapa mchukue mdogo wako au katoto ka dadako ukaambie nani mweupe hapo na nani mweusi hapo halafu uje na majibu.
Labda ukimsikiza Demba Ba hapa unaweza elewa zaidi. Ila anachodai yeye ni kwamba fourth oficial alivyomtambulisha kwa refa si vile anavyotambulisha wazungu. Mfano alimwambia "Book that black guy"! Kitu ambacho demba anasema mbona ingekuwa kwa mzungu mnasema "Book that guy!?"
 
Labda ukimsikiza Demba Ba hapa unaweza elewa zaidi. Ila anachodai yeye ni kwamba fourth oficial alivyomtambulisha kwa refa si vile anavyotambulisha wazungu. Mfano alimwambia "Book that black guy"! Kitu ambacho demba anasema mbona ingekuwa kwa mzungu mnasema "Book that guy!?"View attachment 1645950
Tatizo Waafrika hatujiamini na hatujikubali kiasi cha kwamba tumekubali fahari yetu kugeuka kuwa matusi, tumeshindwa kui brand rangi yetu kuonekana yenye thamani tumebaki kulia lia tu.

Wazungu wameibrand rangi yao inayofanana na kitimoto mpk inaonekana ni rangi nzr na bora, leo hii kama ikitokea kuna weusi watupu af mzungu mmoja na kamisaa akasema "book that white guy" wala mzungu asingelalama na angefurahi kuonekana anahusudiwa cz wamejibrand.

Ifike mahali waafrika tuache kulia lia na tusikubali kasumba za wazungu eti kwamba kumuita mtu black ni tusi, sisi wenyewe tujiite blacks na tujivunie ublack na wao wakituita blacks nasi tuwaite pigs maisha yaendelee.

Ivyo yani.
 
Back
Top Bottom