Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii game mlikuwa mmekamatwa tu

Hakuna namna my nyingine zaid ya kuenda kucheza Europe

Liverpool

Man city

Chelsea


Watawawakilisha
 
Yaani mkuu ukiangalia Rangi yako na mkaa au bendera ya ISIS zinafanana?

Mimi sio wala hata maji ya kunde ni wale tunaoitwa "MANGARA" lakini hata nikiangalia rangi yangu kwa makini inakaribia brown kuliko black
Kwahiyo ukiitwa brown kwa rangi yako uliyoisema hapo utakubali? Weusi umetofautiana ila wote ni weusi. Unewahi sikia njano iliyokolea/kuivia na njano mpauko? Zote hizo ni njano. Umewahi kuona ama kusikia bluebahari? Na blue za kaptura za watoto wa shule za msingi? Zote ni blue. Sasa iwe brown ama ckokoleti au mangara au weusi kama mkurungu hizo zote ni nyeusi.

Mtizame binti huyu aliye pembeni ya wenzake
Halafu umwite black girl aanze kuvuta mdomo


5504a360bc85046749b84621bb14ac38.jpg

Lakini pia hawa wasuatao uwaite nyie mabinti weusi naomba kuzungumza nanyi halafu nawao wavute midomo kisa wameitwa hivyo?
279ae0004b3babd80071d41005547422.jpg
ddccc5766f5529feb3d1518c5fcae98f.jpg

Ama ukibisha na hapa mchukue mdogo wako au katoto ka dadako ukaambie nani mweupe hapo na nani mweusi hapo halafu uje na majibu.
 
Kwahiyo ukiitwa brown kwa rangi yako uliyoisema hapo utakubali? Weusi umetofautiana ila wote ni weusi. Unewahi sikia njano iliyokolea/kuivia na njano mpauko? Zote hizo ni njano. Umewahi kuona ama kusikia bluebahari? Na blue za kaptura za watoto wa shule za msingi? Zote ni blue. Sasa iwe brown ama ckokoleti au mangara au weusi kama mkurungu hizo zote ni nyeusi.

Mtizame binti huyu aliye pembeni ya wenzake
Halafu umwite black girl aanze kuvuta mdomo


View attachment 1645352
Lakini pia hawa wasuatao uwaite nyie mabinti weusi naomba kuzungumza nanyi halafu nawao wavute midomo kisa wameitwa hivyo?
View attachment 1645353View attachment 1645354
Ama ukibisha na hapa mchukue mdogo wako au katoto ka dadako ukaambie nani mweupe hapo na nani mweusi hapo halafu uje na majibu.
Sasa kama hao madada wa mwanzo ni weusi hao?
Kati ya brown na nyeusi ipi rangi ambayo wanaikaribia??Brown sio nyeusi bwana
Alafu hao wa chini sio rangi zao hizo editing...huwa wanapaka makitu fulani ndomana picha zote ni za studio



Mi naona jamii saivi imeevolve sio karne za kuitana tena kwa rangi zetu,Tuitane kwa majina,Uraia,na haiba zingine.
Mchina ni mweupe tena wengine wanamzidi hata mzungu uweupe,,Sasa kwanini hawaitwi white men?

Mzee ukifatilia haya majina ni kwamba yamewekewa classes na whites(Europeans and americans) wanajiona ndo master race.Ingekuwa ishu ni rangi tu hata waarabu na wafilipino wangeitwa whites.
Angalia wamexico kama Tekashi69 yani kila kitu kama mzungu kwanini haitwi white??Na anaimba nigga kwenye nyimbo zake?
Angalia mtu kama Drake huyo ni black?
 
Nyumbu huyo nyumbu mbio mbio, 🎶🎶
Nyumbu tunamkimbiza mbio mbio, 🎶🎶
Mpaka Europa league mbio mbio 🎶🎶

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za nyumbu kutolewa UEFA, tutaendelea kuwa hapa kuwafari.
 
We ungekua kocha ungemuacha Wan Bissaka ili uwe offensive?

Mbona na wewe ungefeli kama ndiyo hivyo.

Sio kutoa wan bissaka kuingiza fosu mensah angalia build up ya goli la tatu mabeki ovyo.


Alafu Maguire mpaka leo hajafundishwa marking.
 
★Solskjaer: “As a footballer you can’t feel sorry for yourself: you can feel sorry for yourself for a few minutes and then focus on Saturday.”★


manutd |
 
Hama hii timu itakuja kupa presha rafiki yangu.
imeshaniongezea presha na msongo wa mawazo kana kwamba nafaidika nayo kiutajiri..
leo nimepata usingizi saa 11 alfajiri (mawazo yamenitawala nafsini)

cha kwanza kinachoniuma ni kwamba jana jioni nilitembelea ukurasa wa instagram wa george ambangile alipost video yake akiwa ndani ya kipindi cha michezo akiwazungumzia leipzig jinsi wanavyocheza kuanzia pale katikati wanavyojazana kwa kuua winga zao, jinsi wanavyotumia angelino kuset mashambulizi baada ya kufanikiwa kumhamisha mlinzi wa pembeni eneo lake, pressing yao na ball possession na jinsi wanavyokuwa watano pale nyuma wasipokuwa na mpira kama umewaangalia vizuri(alitolea zaidi mfano wa mechi ya bayern munich).

yaani george anayeishi Tanzania anawafahamu leipzig kiundani kuliko kocha wetu na benchi lake la ufundi linaloongozwa na football analyst na wataalamu wa IT wanaotambulikana duniani.

kipindi chote cha kwanza wan bissaka alikuwa analazimika kuwa nje ya eneo lake(mara nyingi alikuwa anacheza katikati), ina maana leipzig walifanikiwa kimbinu ya kumhamisha eneo lake ili asikutane mara kwa mara na angelino (one against one) na hapo ndipo angelino alipata fursa ya kutukhanithi anavyotaka (goli zote zimetokea kwake na hata hizo walizokosa zinatokea kwake)

baadae nikaangalia video statman dave (kwa mashabiki wa man utd wengi wao watakuwa wanamfahamu) naye alikuwa anawafanyia analysing leipzig na jinsi gani unaweza kuwabypass (kuwadhibiti), huyu ni mzungu mwenzake ina maana kama ameangalia ile video basi angalijifunza, cha ajabu aliyoyazungumza dave ndio yale yale yaliokwenda kujitokeza uwanjani masaa matano baadae.

second half yule baradhuli wa kinorway anamtoa telles (sidhani kama ameumia) then anambakisha shaw ambaye hana match fitness kwa wiki za karibuni na dakika 20 baadae anamtoa luke shaw then anamuingiza brandon williams.

nilitamani televisheni niivunje kwa hasira.

 
kaka yangu PTER hii kazi ya kumtetea mwendawazimu Ole kuanzia leo rasmi nakuachia wewe na bwana chief mkwawa.
kwa ufupi nimechoka,
acha niunge mkono juhudi.
=================
kama kuna mshabiki wa manchester united anayefikiria ya kwamba siku moja Ole atafanikiwa kumfunga klopp ndani ya uwanja kimbinu (si ubabaishaji) basi wazo hilo aliondoe kwani hiyo siku haitojitokeza.
acha aendelee kumvizia guardiola asiyebadilika na mbinu uchwara zake
==================
tumekuwa mabingwa wa kusifia makipa wa timu pinzani kwa sababu ya kukosa kwetu umakini.
  • mendy wa chelsea hodari (ameokoa michomo dhidi yetu)
  • kipa wa sevilla hodari (ameokoa michomo dhidi yetu)
  • kipa wa leipzig hodari (ameokoa michomo dhidi yetu)
  • kipa wa southampton hodari (ameokoa michomo dhidi yetu)
  • kipa wa west bromwich hodari(ameokoa michomo dhidi yetu)
shots conversion rate yetu ni mbovu kuwahi kutokea,
 
Sasa kama hao madada wa mwanzo ni weusi hao?
Kati ya brown na nyeusi ipi rangi ambayo wanaikaribia??Brown sio nyeusi bwana
Alafu hao wa chini sio rangi zao hizo editing...huwa wanapaka makitu fulani ndomana picha zote ni za studio



Mi naona jamii saivi imeevolve sio karne za kuitana tena kwa rangi zetu,Tuitane kwa majina,Uraia,na haiba zingine.
Mchina ni mweupe tena wengine wanamzidi hata mzungu uweupe,,Sasa kwanini hawaitwi white men?

Mzee ukifatilia haya majina ni kwamba yamewekewa classes na whites(Europeans and americans) wanajiona ndo master race.Ingekuwa ishu ni rangi tu hata waarabu na wafilipino wangeitwa whites.
Angalia wamexico kama Tekashi69 yani kila kitu kama mzungu kwanini haitwi white??Na anaimba nigga kwenye nyimbo zake?
Angalia mtu kama Drake huyo ni black?
Mkuu sawa nimekuelewa japo haibadilishi kuwa sisi ni weusi sema kama ulivyo sema nyakati hizi sio za kuitana kwa rangi.
Tutaendelea kuwa weusi.
 
Mlipofunga 5 wenzenu walikuwa wapole, sasa n zamu yenu kuwa wapole kwenye tamasha la futuhi
 
Kiilichokuja kunivunja mbavu ni zile SUB za wale mabeki kina Fosu Mensah
pale alishakubali matokeo na bahati mbaya tunafunga magoli 2 haliyakuwa tushafanya sub mara tatu.
nakuhakikishia pale angalimuingiza mata au james kama ingelikuwa bado hajamaliza round 3 za mabadiliko.

jamaa ni mjinga sana
 
Back
Top Bottom