Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo Waafrika hatujiamini na hatujikubali kiasi cha kwamba tumekubali fahari yetu kugeuka kuwa matusi, tumeshindwa kui brand rangi yetu kuonekana yenye thamani tumebaki kulia lia tu.

Wazungu wameibrand rangi yao inayofanana na kitimoto mpk inaonekana ni rangi nzr na bora, leo hii kama ikitokea kuna weusi watupu af mzungu mmoja na kamisaa akasema "book that white guy" wala mzungu asingelalama na angefurahi kuonekana anahusudiwa cz wamejibrand.

Ifike mahali waafrika tuache kulia lia na tusikubali kasumba za wazungu eti kwamba kumuita mtu black ni tusi, sisi wenyewe tujiite blacks na tujivunie ublack na wao wakituita blacks nasi tuwaite pigs maisha yaendelee.

Ivyo yani.
Boss hii ni comment bora ya mwaka
kwangu ni ujinga wa hali ya juu kulalamika eti kisa mtu kakuita black
 
umeamua kuchochea vita sasa
Tatizo Waafrika hatujiamini na hatujikubali kiasi cha kwamba tumekubali fahari yetu kugeuka kuwa matusi, tumeshindwa kui brand rangi yetu kuonekana yenye thamani tumebaki kulia lia tu.

Wazungu wameibrand rangi yao inayofanana na kitimoto mpk inaonekana ni rangi nzr na bora, leo hii kama ikitokea kuna weusi watupu af mzungu mmoja na kamisaa akasema "book that white guy" wala mzungu asingelalama na angefurahi kuonekana anahusudiwa cz wamejibrand.

Ifike mahali waafrika tuache kulia lia na tusikubali kasumba za wazungu eti kwamba kumuita mtu black ni tusi, sisi wenyewe tujiite blacks na tujivunie ublack na wao wakituita blacks nasi tuwaite pigs maisha yaendelee.

Ivyo yani.
 
★Mail Sport | Scouts from Arsenal, Tottenham, Everton and Man Utd will watch Leon Bailey on Thursday night against Slavia Prague.★

#GGMU

manutd |
IMG_20201210_125651_661.jpeg
 
Bielsa mbinu zake zinaenda na wachezaji underdogs..wasio na majina

Huwezi kumkimbiza Pogba na Martial Kwa style za Bielsa..
Watamgomea au atawaweka benchi mtalia lia..

Wachezaji ma superstar hawawezi mziki wa Bielsa wa wa kusahambulia non stop..

LIVERPOOL ina maSuperstar kibao ila style yao ni ku-presss na kushambulia dkk90 zote..UKICHEZA NA LIVERPOOL UKAWA MZEMBE WATAKUPIGA HATA GOLI 9..

Sijagusia BAYERN MUNICH HAPO nao. jinsi wanavyoPress.
 
★Mail Sport | Scouts from Arsenal, Tottenham, Everton and Man Utd will watch Leon Bailey on Thursday night against Slavia Prague.★

#GGMU

manutd | View attachment 1646146
Leon Bailey ni winger wa kushoto Man united wanamtaka wa nini ?

Leon Bailey alikuwa wa moto toka anasajiliwa kutoka KRC Genk scouts wa United hawakumuona ila walikuwa na jicho pevu la kuweza kumuonea Daniel James.

Tunahangaika kutafuta winger wa kulia hivi hatumuoni Mikel Oyarzabal ?
 
★Mkuu punguza jazba bwana mdogo mwenyewe huyu hapa kasema

Leon Bailey:- "I've always said my best position is on the right-hand side. I feel really happy out on the right.

sasa kama nawewebunamjua huyu dogo yupo moto we huoni ataleta kitu flani kwenye timu maana kwa Man U hatuna RW nazani Leon atajaza hiyo nafasi na atakuwa Chaguo sahihi.★
Leon Bailey ni winger wa kushoto Man united wanamtaka wa nini ?

Leon Bailey alikuwa wa moto toka anasajiliwa kutoka KRC Genk scouts wa United hawakumuona ila walikuwa na jicho pevu la kuweza kumuonea Daniel James.

Tunahangaika kutafuta winger wa kulia hivi hatumuoni Mikel Oyarzabal ?
 
★Mkuu punguza jazba bwana mdogo mwenyewe huyu hapa kasema

Leon Bailey:- "I've always said my best position is on the right-hand side. I feel really happy out on the right.

sasa kama nawewebunamjua huyu dogo yupo moto we huoni ataleta kitu flani kwenye timu maana kwa Man U hatuna RW nazani Leon atajaza hiyo nafasi na atakuwa Chaguo sahihi.★
Pale Bayer Leverkusen na KRC Genk Leon alikuwa akicheza kushoto.
 
LIVERPOOL ina maSuperstar kibao ila style yao ni ku-presss na kushambulia dkk90 zote..UKICHEZA NA LIVERPOOL UKAWA MZEMBE WATAKUPIGA HATA GOLI 9..

Sijagusia BAYERN MUNICH HAPO nao. jinsi wanavyoPress.
Leeds haifanani na Bayern wala Liverpool

Halafu Liverpool wameibadili Ile original 'gengen pressing'..
Wamei twist kidogo ..ndo maana Liverpool ya
First two seasons za Klop na hii ya sasa ina tofauti sana..

Leeds mfumo wao unahitaji wachezaji wote kukimbia sana Kwa dakika zote
Pogba na wenzie hawawezi hiyo..
 
★Ujue mchezaji anahama upande flani kwenda mwingine kulingana na mrundikano wa wachezaji wenzake wenye uwezo sawa na yeye katika pande moja huenda ikawa pale KRC na Leverkusen kulikuwa hakuna Mtu waku cover Left that's Why bwana mdogo kwakuwa he can play both side well akaamuliwa/kuamua mwenyewe kuwa upande ule pia kukwepa kukosa nafasi Copy Dat★
Pale Bayer Leverkusen na KRC Genk Leon alikuwa akicheza kushoto.
 
Leeds haifanani na Bayern wala Liverpool

Halafu Liverpool wameibadili Ile original 'gengen pressing'..
Wamei twist kidogo ..ndo maana Liverpool ya
First two seasons za Klop na hii ya sasa ina tofauti sana..

Leeds mfumo wao unahitaji wachezaji wote kukimbia sana Kwa dakika zote
Pogba na wenzie hawawezi hiyo..

POGBA sio swetable kwa mchezo unaohitaji PACE na Pressing So kama Kocha akija ataleta wachezaji wanaomfaa..kocha ndo anadictate style ya kucheza sio mchezaji.
SO hata BIESA akiamua kuja OT pale ni sawa tu LONG AS OLE ANASEPA.
 
★Mkuu punguza jazba bwana mdogo mwenyewe huyu hapa kasema

Leon Bailey:- "I've always said my best position is on the right-hand side. I feel really happy out on the right.

sasa kama nawewebunamjua huyu dogo yupo moto we huoni ataleta kitu flani kwenye timu maana kwa Man U hatuna RW nazani Leon atajaza hiyo nafasi na atakuwa Chaguo sahihi.★
Hivi hao wachezaji mnawashangilia kwa kumletea Ole!?
 
Back
Top Bottom