Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole match za pressure za kushinda hawezi

Hana mbinu

Hana uzoefu

Match Kama hizo wanaziweza akina klop

Ole huwa anashinda kwa kubahatisha +uwezo binafsi wa wachezaji



Ole hana mbinu za kimpira kabisa


Match ambayo inatakiwa ashinde au adraw, anakosa namna kabisa ya kufanya?


Game Kama hizi ndio unaweza kumjua

Morhno ni nan

Klop

Simeon


Yaan game Kama hizo wanazimalizaga mapema!


Kuna game liverpool vs sulzburg,

Uefa ilibid liverpool ashinde ndio aende 16bora na alikuwa away ,uliona alivo Press mpaka sulzburg alikufa gori mbili


Leo hii mnataka ole awavushe kwenye wakati Kama huo, never happen hawez kabisa


Ole katika fainal tano, anaweza akashinda moja, kwa sababu hana mbinu za ushind, huwa anabahatisha kulingana na uwezo wa wachezaji walivoamka
Nimekupa like
 
Kwa hiyo kikao chetu tunakiketi lini ndugu wajumbe ili kuongeza baadhi ya vipengele kwenye kipindi chetu pendwa cha FUTUHI
 
Ole match za pressure za kushinda hawezi

Hana mbinu

Hana uzoefu

Match Kama hizo wanaziweza akina klop

Ole huwa anashinda kwa kubahatisha +uwezo binafsi wa wachezaji



Ole hana mbinu za kimpira kabisa


Match ambayo inatakiwa ashinde au adraw, anakosa namna kabisa ya kufanya?


Game Kama hizi ndio unaweza kumjua

Morhno ni nan

Klop

Simeon


Yaan game Kama hizo wanazimalizaga mapema!


Kuna game liverpool vs sulzburg,

Uefa ilibid liverpool ashinde ndio aende 16bora na alikuwa away ,uliona alivo Press mpaka sulzburg alikufa gori mbili


Leo hii mnataka ole awavushe kwenye wakati Kama huo, never happen hawez kabisa


Ole katika fainal tano, anaweza akashinda moja, kwa sababu hana mbinu za ushind, huwa anabahatisha kulingana na uwezo wa wachezaji walivoamka
Upo sahihi mkuu tena nakumbuka ile mechi ya liverpool na Salsburg watu wengi walihisi klopp hatoboi baada ya kupata nao shida pale Anfield lakini alichokuja kuwafanya huko Austria hawatokisahau,sisi kocha wa aina hiyo hatuna mi naomba weekend tupigwe aende zake tutaishi kwa matumaini mpk lini na kikosi tunacho kizuri tu.
 
Mi naona hawa pundamilia wapewe hatimiliki ya europa ligi..

Wasiruhusiwe kucheza UCL wanapoteza muda na kuziba nafasi za timu zingine..

Wao wakae huko europa ligi na makombe mengine ya mbuzi
 
Bob Chelsea ya sasa inajituma kuwaprove wrong watu so nikaamini atashinda hata kusawazisha kulikuja fasta so nikajua mambo mwake
Castr Alifanya change ya wachezaji 9 kutoka kikosi Cha kwanza ndio walicheza Jana kwa maana hiyo imeshaonesha game yake hiyo sio muhimu kwake kwasababu hata akifungwa goal 1000 still remain top of group Sasa wewe ulitakiwa ujiongeze kwenye mkeka wako usibeti ovyo ovyo bila kuangalia mazingira ya mechi kwanza nyinyi mnaobeti mnakwama wapi?
 
✓Ole aondoke,na Pogba afuatie..

✓Tu-hire kocha aliyeprove kitu hasa kutoka ligi ya Germany,atakayekuja na falsafa za kutufanya mpira wa uhakika uchezwe na mafanikio yapatikane

°°°Tukiendelea kubaki na Ole naamini hata top four hamna this season°°°
Tumchukue huyu wa RB Leipzig
 
Castr Alifanya change ya wachezaji 9 kutoka kikosi Cha kwanza ndio walicheza Jana kwa maana hiyo imeshaonesha game yake hiyo sio muhimu kwake kwasababu hata akifungwa goal 1000 still remain top of group Sasa wewe ulitakiwa ujiongeze kwenye mkeka wako usibeti ovyo ovyo bila kuangalia mazingira ya mechi kwanza nyinyi mnaobeti mnakwama wapi?
Tatizo siyo changes tatizo ni timu aliyokutana nayo. Mfano Bayern, Liva na City points zao hazifikiwi na yeyote lakini kutokana na timu wanazokutana nazo na aina ya makocha unawaziaje matokeo?
 
Kakosea kidogo Tena Ni typing error alafu umemkomalia ile mbaya
Mkuu hyo sio typing error,,

Hivi mtu akisema my dog na my god ni sawa?

Yeye kavamia Uzi wa man u kwa lengo la kutukejeli,,

Mwisho wa siku kajivua nguo mwenyewe..

Angekuwa shabiki mwenzangu wa man u ,,
Wala isingeleta shida..
 
Tactical OGS uwezo wake sio wa kufundisha United,na anashindwa kupanga timu kutokana na opponent anao kutana nao,recently imekuwa kawaida United kuanza kufungwa magoli ndani ya 30 minutes then second half anagundua makosa na kufanya sub.Moja ya sifa ya kocha mzuri ni kuwajua wapinzani wake (strength & weakness) na kuzifanyia kazi

Thomas Tuchel &Julian Nagelsmann baada ya kufungwa na United mechi za kwanza walifanya analyisis wakagundua makosa waliyofanya next game wakashinda na ku-qualify .
 
UCL wanaangalia HTH siyo goal difference
Aah sawa...nilijua psg akifungwa ManU,RB na psg watalingana point in that case wangeangalia goal difference.

Lakini Kumbe RB ashamzidi manyuu
kiasi kwamba hata Psg akipigwa atapita tu. Maana kampiga manyuu HTH
 
Acha kukimbia rangi yako. You are black. Labda unambie wewe una rangi ya zambarau ama njano
Yaani mkuu ukiangalia Rangi yako na mkaa au bendera ya ISIS zinafanana?

Mimi sio wala hata maji ya kunde ni wale tunaoitwa "MANGARA" lakini hata nikiangalia rangi yangu kwa makini inakaribia brown kuliko black
 
Wazee tunaposema Kocha hajui muwe mnatuelewa, kuna mambo yuko njema kama usajili na siasa za mpira ila kuja kwa mbinu za ushindi hapana.

Jana De Gea alidakia miguu while kipa Wa Leipzig anadakia mikono.

Kulikuwa na haja gani ya kumtoa wan bissaka wakati tunahitaji kuwa offensive.

Damn it.

Ole Out
 
Pogba ni mjinga sana, halafu haonagi kwamba umri unamtupa mkono. Anatimiza miaka 28 soon. Yeye ana amini bado ni mdogo eti ana bright years ahead. Hajui kwa ile mentality mbovu ataishia kuwa wonderful talent with no meaningful achievement. France kushinda WC sio kwamba ni direct credit kwake tu. Anatakiwa aoneshe anaweza ku shine nje ya kuwa covered na Kante na Matuidi
Say no more bro..
 
Wazee tunaposema Kocha hajui muwe mnatuelewa, kuna mambo yuko njema kama usajili na siasa za mpira ila kuja kwa mbinu za ushindi hapana.

Jana De Gea alidakia miguu while kipa Wa Leipzig anadakia mikono.

Kulikuwa na haja gani ya kumtoa wan bissaka wakati tunahitaji kuwa offensive.

Damn it.

Ole Out
We ungekua kocha ungemuacha Wan Bissaka ili uwe offensive?

Mbona na wewe ungefeli kama ndiyo hivyo.
 
images(36).jpg



Amadou Haidara (born 31 January 1998) is a Malian professional footballer who plays as a midfielder for German club RB Leipzig and the Mali football team.
 
Back
Top Bottom