Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unamweka benchi vdb unachezesha left backs wawili hehehehee wallahi km kuna man u mwenzangu humu bado anaamini ktk Ole basi huyo anaweza kuishi hata baharini

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa najiuliza watu wanatoa wapi ujasiri wa kuweka imani na Ole? Juzi nimesema hapa baada ya kuwafunga Westham hatufiki popote na Ole. Ana uwezo mdogo sana.
 
VAN DE BERK SASA NIMEMPANDISHA CHATI RASMI, AMEINGIA LEVEL YA MARTIAL.
Kocha mpumbavu huyu vdb ana nidhamu ya mchezo yn ni heri kale katoto kake trashford kasikopandisha kiwango angekapiga benchi af don acheze 11 dogo Greenwood acheze kati kule kulia acheze bruno awe anaingia ndani.

Na hakukuwa na haja ya kuwaanzisha viungo wakabaji wawili, mmoja angesubiri ili mmoja (mctomy) acheze na pogba mbn mechi ilikuwa nyeupe ilee.

Btw ata tungeshinda tungetoka tu bora twende Europa level yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rio Ferdinand: “In the past Ole set us up to play five at the back with a lot of attackers (like against PSG), tonight we set up with five when they only had one up top, it was a waste of a centre half. It should’ve changed, Ole didn’t do it and the subs were too late” [BT]

waliosomea uchambuzi na wanaojua mpira wanaonekana kbs hawakubaliani na mbinu za ole.Sasa wabongo tutakuja kutetea ujinga hapa..Fukuza huyu kocha!!!
 
Eti wanasema ubaguzi, kisa mwenye ngozi nyeusi kaitwa mtu mweusi. Baadhi ya Waafrika ni wapumbavu sana sasa ww una gozi nyeusi ukiitwa mtu mweusi unachukia na kusema ni ubaguzi. Pumbavu kabisa

Sasa unataka uitwe mtu mweupe wakati ww ni mweusi, hii kampeni yao naona kuna kitu inatafuta kutoka kwetu Waafrika.
 
Eti wanasema ubaguzi, kisa mwenye ngozi nyeusi kaitwa mtu mweusi. Baadhi ya Waafrika ni wapumbavu sana sasa ww una gozi nyeusi ukiitwa mtu mweusi unachukia na kusema ni ubaguzi. Pumbavu kabisa

Sasa unataka uitwe mtu mweupe wakati ww ni mweusi, hii kampeni yao naona kuna kitu inatafuta kutoka kwetu Waafrika.
Aisee kazi ipo.
 
Rio Ferdinand: “In the past Ole set us up to play five at the back with a lot of attackers (like against PSG), tonight we set up with five when they only had one up top, it was a waste of a centre half. It should’ve changed, Ole didn’t do it and the subs were too late” [BT]

waliosomea uchambuzi na wanaojua mpira wanaonekana kbs hawakubaliani na mbinu za ole.Sasa wabongo tutakuja kutetea ujinga hapa..Fukuza huyu kocha!!!
Halafu anapokera zaidi ni mbishi kufanya sub.
Yani mpaka dakika ziende ndio ananza kukumbuka shuka.
 
Lile goli la 3 sijui mara ya ngapi hii naliona tunafungwa hivo hivo hamna mabadiliko kabisa hapo kwa defense, ila sawa uko Futuhi sijui kama nitapata nguvu yakuangalia nitasubiri ligi tu.
Team Ole mlete statistics hapa tuone maana ameshindwa kupata point kwenye mechi 2 ndo tutegemee atupe mafanikio huyu no way, kama alipoteza nusu fainali 3 mfululizo haishangazi kuona kwamba hawezi kutumia mbinu kushinda mechi muhimu kama hizi anajichezea tu na watoto wake wote wapuuzi.
 
Back
Top Bottom