Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamani poleni. Ka mchezo haka kaliko chezwa na psg na instanbul hata shetani hajakapenda. Ni harakat za man utd aende futuhi
 
Eti wanasema ubaguzi, kisa mwenye ngozi nyeusi kaitwa mtu mweusi. Baadhi ya Waafrika ni wapumbavu sana sasa ww una gozi nyeusi ukiitwa mtu mweusi unachukia na kusema ni ubaguzi. Pumbavu kabisa

Sasa unataka uitwe mtu mweupe wakati ww ni mweusi, hii kampeni yao naona kuna kitu inatafuta kutoka kwetu Waafrika.
Kwanza Hakuna mtu mweupe wala mweusi.
angalia karatasi jeupe halafu jiulize kuna mtu wa rangi hiyo?
Angalia mkaa halafu jiulize kuna mtu wa rangi hiyo?
 
Eti wanasema ubaguzi, kisa mwenye ngozi nyeusi kaitwa mtu mweusi. Baadhi ya Waafrika ni wapumbavu sana sasa ww una gozi nyeusi ukiitwa mtu mweusi unachukia na kusema ni ubaguzi. Pumbavu kabisa

Sasa unataka uitwe mtu mweupe wakati ww ni mweusi, hii kampeni yao naona kuna kitu inatafuta kutoka kwetu Waafrika.
The difference between A White Guy and and a Black Guy a White Guy wouldn't get offended by calling him a White Guy .

Kwenye NBA they always say "White Guy "na hakuna mtu no one cares about that .

No sense to me.
 
Psg hata akifungwa man u inatoka kwao mlishinda 2-1 kwenu wakawapiga 3–1 head to head yuko na advantage
Sasa tim tatu zikifungana kwani wanaangalia HTH???Wanaangalia goal difference bwashee meaning Manjezta watapita
 
Kwanza Hakuna mtu mweupe wala mweusi.
angalia karatasi jeupe halafu jiulize kuna mtu wa rangi hiyo?
Angalia mkaa halafu jiulize kuna mtu wa rangi hiyo?
Hakuna mtu mweupe wala mweusi???
BUT BLACK LIVES MATTER IS OK ????
 
Hakuna mtu mweupe wala mweusi???
BUT BLACK LIVES MATTER IS OK ????
Wew kwani ushawahi kumuona mtu mweupe labda? yani kama chaki.

black lives matter ni slogan tu Sawa na kusema "Everybody dies" wakati Ocean is a body of water and does not die
 
Wew kwani ushawahi kumuona mtu mweupe labda? yani kama chaki.

black lives matter ni slogan tu Sawa na kusema "Everybody dies" wakati Ocean is a body of water and does not die
BLACK LIVES MATTER ndio utofauti unapoanzia hapo
Black is Black

White is White

Kwanini slogani haikusema ALL LIVES MATTER .
 
Back
Top Bottom