John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Sema SU tulete za martial na Kurt zouma.....
Sema SU tulete za martial na Kurt zouma.....
Midfielder sio lazima awe defensive ama attacking tu, Pogba anachezeshwa kama box to box (sawa na Timu ya taifa). Na ni katika nafasi hii ndio unapata quality zake zote ikiwemo long pass.Tatizo ni ole jinsi ya kumchezesha pogba,,
Siku zote hakuna mchezaji world class anayependa kutokea bench,,na kupewa game time ndogo.,,mchezaji anapocheza game time nyingi ndy kunaongeza confidence yake uwanjani. ,,
Nadhani man u inapaswa itengeneze mfumo wa kuchezesha attacking midifilders 2 mbele,,
kwa mfumo huo ,,pogba apewe nafasi ya kuattack zaidi..na hata VDB pia atapata nafasi ya kucheza,,
Badala ya mfumo wa kuchezesha defensive medifilder 2 na attacking medifilder 1.
Mfumo huo wa kuchezesha 2 dmf unamfanya pogba na VDB kukosa nafasi...
Kocha abadilike mfumo.
Huyo kuku wenu Kati ya hizo goli 6 amefunga magoli mangapi ya penalty.
Huyu tuuze tu, overrated, virus (in Mou voice)
Kila akiojiwa na france media lazima azue drama, mbona fundi bruno akiojiwa anakua positive kw club na kocha wake
Hii international break ni disaster kwa wachezaji aisee.
Karibu kila siku kuna injuries mpya nyingi tu kwa wachezaji kwanini wasingefanya zikachezwa mechi moja tu ?
★
Sema SU tulete za martial na Kurt zouma.....
![]()
![]()
Kama nalo lilikuwepo vile, yan anavyobana pua utasema yeye ni Jaap Stam, au nemanja vidic...
![]()
Mwambieni kuna jela na gesti, so ajifunze kukaza mtoto wa kiume sio anatambia mafanikio ya wanaume
View attachment 1622307





Tatizo huna akili timamu.
Ukipigwa konzi tu unasahu yote uliyo nena.





Mkiuza Pogba mnashuka daraja.Jamaa pia kashapoteza ile influence aliyokuwa nayo hapo nyuma ndani ya United..ni muda sasa aondoke maana hata ubora wake hatujauona kwa level tulizozitaka..
Hivi kwenye ile story uliishia wapi? Ni tag nikamalizie achana na hili li timu litakupa stress.PAPAA GX kwenye ubora wako.
Naona uko ndani ya bikini, ni kujikatisha katisha kwenye magheto ya wauni.
Mara hii ushafika huku?

