The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Alafu kwnn huwa mna dharau namna hii yn huwa mnadhani nyie ndio mnaojua mpira pekeenu au co.Thomas Muller anacheza position hiyo hiyo anayocheza Bruno na De Bruyne ila kama unaangalia mpira kwa sababu ya betting huwezi kuona ubora wa huyo kiumbe.


3-0 vs. Luton
0-0 vs. Chelsea
0-1 vs. Arsenal
★