Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Pogba naskia amesema hafurahii maisha ya OT kwa sasa..gametime hapati
Sasa kwa ile perfomance ni kocha gani atakuwa anampa dakika 90?
He can f.ck leave the club
Alianza kuongea kocha wake wa timu ya Taifa, na yeye ndo akafatia.
Naona akimaliza huu msimu ataondoka.

#MUFC #France #Pogba
★

★

★