Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Muheshimu sana Maguire maana kwa pancha za Bailly hii inamaana kwamba Maguire ndio beki ya kati bora kuliko zote pale Old Trafford
Huyu Magwayaa
JamiiForums1303475524.jpg
2600447_JamiiForums94146153.jpg
 
Watu wanaongelea uwezo binafsi wewe unaleta mafanikio, unajua Man. Utd tukiongelea mafanikio ya timu huwa tunasemwa tunakimbilia historia na hivyo timu yetu mnai-consider kama timu ndogo at the same time kupitia uwezo wake wa sasa ila imekuja ishu ya Bruno na Luka umekimbilia kuwalinganisha kwa mafanikio na kuacha uwezo ambao ndiyo kipimo chenu pendwa cha ubora ila nashangaa hapa umebadili direction ili tu upate conclusion kuwa Luka ni bora kuliko Bruno.

Jaribu kuifanya nyeusi iwe nyeusi na nyeupe iwe nyeupe.
Sasa wewe takataka hayo makombe luka aliyapata kwa kupewa? Ci uwezo wake binafsi ndo umempa hayo mafanikio..bruno "Man of the match" una mfananisha na Balllon'Dio Winner
 
Midfielder sio lazima awe defensive ama attacking tu, Pogba anachezeshwa kama box to box (sawa na Timu ya taifa). Na ni katika nafasi hii ndio unapata quality zake zote ikiwemo long pass.
Box to box ni mfumo au aina ya midfielder mfano wa Fred?
Hakuna attacking midfielder ambaye ni box to box midifilder,,,
Pogba anapaswa acheze attacking zaidi ,acheze juu..
Akizungukwa na midfilders creative mfano wa Bruno na VDB au mata.
Nimeshuhudia mechi nyingi za united wakchezesha attacking midfilder mmoja tu ambaye ni Bruno pekee ,
chini yupo mactommy na Fred.

Martial
Rashford. Greenwood.
Bruno

Fred. Mactommy

Shaw. ,lindleof, magwea. Wbs

Degea.
Hapo pana attacking midifilder wangapi?
Ole akiona anazidiwa atamwingiza either VDB,,au pogba kurudi kwenye mfumo wa double attacking midifilders..
Kwann asiwaanzishe hao mmoja kati ya pogba au VDB?tuwe attacking zaidi?
Hatuwezi kuwa hatari zaidi kwenye eneo la adui kama tukiendelea kutumia mfumo wa double dmf.
Ukizingatia hatuna natural winger mfano wa Sancho..
Unategenea nn?
Fred na mactommy hawana pasi za mwisho za magoli,,sasa unategemea Bruno pekee ndy atengeneze nafasi?
Ole abadilike.
 
Box to box ni mfumo au aina ya midfielder mfano wa Fred?
Hakuna attacking midfielder ambaye ni box to box midifilder,,,
Pogba anapaswa acheze attacking zaidi ,acheze juu..
Akizungukwa na midfilders creative mfano wa Bruno na VDB au mata.
Nimeshuhudia mechi nyingi za united wakchezesha attacking midfilder mmoja tu ambaye ni Bruno pekee ,
chini yupo mactommy na Fred.

Martial
Rashford. Greenwood.
Bruno

Fred. Mactommy

Shaw. ,lindleof, magwea. Wbs

Degea.
Hapo pana attacking midifilder wangapi?
Ole akiona anazidiwa atamwingiza either VDB,,au pogba kurudi kwenye mfumo wa double attacking midifilders..
Kwann asiwaanzishe hao mmoja kati ya pogba au VDB?tuwe attacking zaidi?
Hatuwezi kuwa hatari zaidi kwenye eneo la adui kama tukiendelea kutumia mfumo wa double dmf.
Ukizingatia hatuna natural winger mfano wa Sancho..
Unategenea nn?
Fred na mactommy hawana pasi za mwisho za magoli,,sasa unategemea Bruno pekee ndy atengeneze nafasi?
Ole abadilike.
Pogba azungukwe na VDB na Juan Mata ?
 
Back
Top Bottom