Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijui wengine huwa mnaangalia mechi kutokea angle gani?
Angle hii
JamiiForums-1258997905.jpg
 
mkuuu umeongea point lindelof amecheza vizuri sana, kuna kitu nimegundua jana na nikarud youtube kuangalia upya maguire huwa anakaba kwa kutegea sana ila lindelof anapambana all the time na kila mahari ila yeye ndo hulaumiwa, kingine maguire hayuko sawa anabid apumzike atulize akili
Mbona mwanzo mlikuwa hamlisemi hili badala yake mlikuwa mnasema Ole hana mbinu?

Uliona PSG jana walifurukuta hata kidogo ?
 
Back
Top Bottom