Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi tatizo naloliona law Ole ni lassez affair attitude tu wachezaji wanamchukulia kama msela wao tu

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Tatizo hata Mourhnio walisema hivyo hivyo. Kosa la OGS ni kumpanga Pogba kama defensive midfielder badala ya attacking midfielder.
Kama hawezi kumpanga mbele basi asimchezeshe vinginevyo atatimuliwa. Matatizo ni midfield haikabi. Pia mabeki wa pembeni wanacheza kama Centre halves na kuruhusu crosses na mabao. Manutd wasiporekebisha haya matatizo basi kocha atimuliwe na yule wa zamani wa Spurs, Pochettino aajiriwe haraka iwezekanavyo.
Mechi inayofuata dhidi ya Newcastle lazima wafungwe tatu kwenda mbele

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Kwa mechi zinazokuja baada ya International Break, yani PSG, CHELSEA, RB LEI, ARSENAL Ole hatashinda mechi hata moja hivyo lazima ataondoka tu iwe iweje!

Na-save hii comment kwaajili ya reference
Psg tu watafungwa hizo nyingine zipo sare kwa Chelsea na Arsenal na Leicester wataifunga hawajachoka hivyo

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Natamani Brandoni asiondoke acheze kulia.....
FB_IMG_16018386447823343.jpg
 
Kwahiyo mkuu ilikuwa

Goli la kwanza: magwaya anamkaba shoo

Goli la pili: magwaya anamkaba shoo

Goli la tatu: magwaya anamkaba shoo

Goli la nne: Magwaya anamkaba shoo

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Magwaya ni uchochoro kiwango cha fifa kabisa, kinachomfanya asizungumziwe sana ubovu wake ni bei aliyonunuliwa,

Lindelof amebeba sana mzigo huu wa lawama nadhani leo ameutua kabisa, kwa sababu Huyu maguire kuna mpira mmoja kaenda kukaba, akamuelekeza shaw kwenda kumkaba mtu mwingine halafu akasahau kubana miguu, ikapigwa pasi kwenye kipago chake ikamkuta son akaweka kamba, maguire ni mzurulaji tuu uwanjani anakabia macho, then akikutana na mipira iliyimjia vizuri ndo anachukulia point, jamaa ni flopu flopu😡 anafanya mistake nyingi sana huyu panya magwaya
 
Katika kipindi cha miaka 7.

Man U wameajiri makocha 4.

Madrid wameajiri 5 managers
Barcelona wameajiri 6 managers
Bayern 5managers
Chelsea 5managers

Na hizo timu zote katika kipindi hicho zimechukua makombe makubwa.

Unafikiri hizo timu zingefukuza makocha wangp kama wangekiwa wamepitia hali kama ya United.
 
Jamani hakuna haja ya malumbano, mtu anayeharibu furaha yetu ni Ed Woodward hata aje kocha gani pale Manchester United bado nyumba imeoza ndani. Hii nafasi ya Ed inahitaji mtu smart sana anayeweza kujenga timu nzuri pasipo kuwaza kutumia pesa zaidi. Ed ndiye mtu responsible ku-assemble talents zote from coaching staffs to recruitment team, sasa unapokuwa na mtu mwenye uwezo mdogo kuunganisha hivi vichwa vifanye kazi kwa ufasaha ni shida. Hata akiajiri director of football as long as ana-report kwake ktk chain of command bado ni kazi bure.

Kama kuna watu ni wapenzi wa mpira wa kikapu utaona kuna mtu yupo Toronto Raptors anaitwa Masai Ujiri jinsi anavyoitendea haki ile nafasi yake ya u-rais wa timu ile ni same model hata football executive anaweza akawa ana-manuvre timu yake kwa akili kubwa pasipo kutumia pesa sana ktk usajili. Timu hujengwa kwa mikakati na sio taswira ya kibiashara sana. Pesa huja ukianza kufanya vizuri. Uunganisha kwanza talents (coaches & recruitment teams) zinazoweza kuleta wachezaji sahihi na kwa wakati sahihi na sio kuwa watu wenye ufikiri finyu na sio ajabu sokoni tunatangaza nia na hatuwezi ku-strike deal hata moja.
 
Natamani Brandoni asiondoke acheze kulia.....
dalot ameondoka, tafsiri yake ni kwamba brandon williams anarudishwa upande wake wa asili (beki wa kulia)

mara ya mwisho kupata huduma ya internet (juzi Ijumaa) niliona taarifa ya As roma kumuhitaji fosu mensah kwa mkopo kwenye dili la smalling (sijafahamu kinachoendelea), kama fosu mensah ataondoka huenda nafasi yake ikazibwa na ethan laird (natumai bado hajatolewa kwa mkopo).
 
Back
Top Bottom