Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

We amini kuwa tatizo la united ni kocha lakini mimi naamini siyo kocha.

Kuna maeneo kocha ana mapungufu yake lakini siyo kwa mechi kama ya leo.

Solkjaer hajamwambia Maguire akamkabe Shaw goli la kwanza na la pili, la tatu na la nne yote yametokana na sloppy defending ya captain wetu.

Kocha alikosea kumwanzisha Bailly na Maguire ni strong but careless defenders mara nyingi defenders wanaofanya tackles nyingi huwa wanakuwa careless hasa kuwa off position au wrong timing.

This is what happened kwenye defence yetu ilikuwa ni lazima tufanye tackling ili kupata mpira that means defence ilikuwa off position au ilikuwa inafanya wrong timing.

Kwenye Midfield yetu kulikuwa na shida pia Matic was not in form lakin Pogba hakuwa sawa sawa pia always ukitaka kushinda dhidi ya united weak Link ni Pogba kwa sababu ana overconfidence but ni careless this time inachangiwa na kukosa match fitness.

Kwenye fullback tulikuwa hovyo kuliko kawaida fullbacks zetu alicheza ndani sana hivyo tukawa pinned kwenye box letu na hata zilipokwenda kushambulia hatukuweza kuwa na uwezo wa kuretain mpira kwenye final third yetu walau kwa dakika moja this was a weakness.

Kuna mengi ya kusema lakini mara nyingi mashabiki huwa tunaangalia upande unaotupa furaha.

Kiukweli partnership ya Bruno na Pogba ilikuwa fluke tu na ilikuwa exposed kuanzia game yetu na Southampton tuliyotoka 2-2.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ss km kocha ni mzuri inakuaje asijue kwamba Pobga na Bruno hawawezani? Hv mkuu ni kweli kabisa wachezaji wote wawe hawajitoi kwa ajili ya tm we unaamini hvyo? Duuh mkuu leo umenishangaza sn yn huoni mapungufu ya kocha! Huoni tm haichezi kitm! Huoni tm haina mfumo!!!!!!!! Ok ngj nkuache kiongozi ww amini unavyoamini na mm niamini hv hv.
 
We amini kuwa tatizo la united ni kocha lakini mimi naamini siyo kocha.

Kuna maeneo kocha ana mapungufu yake lakini siyo kwa mechi kama ya leo.

Solkjaer hajamwambia Maguire akamkabe Shaw goli la kwanza na la pili, la tatu na la nne yote yametokana na sloppy defending ya captain wetu.

Kocha alikosea kumwanzisha Bailly na Maguire ni strong but careless defenders mara nyingi defenders wanaofanya tackles nyingi huwa wanakuwa careless hasa kuwa off position au wrong timing.

This is what happened kwenye defence yetu ilikuwa ni lazima tufanye tackling ili kupata mpira that means defence ilikuwa off position au ilikuwa inafanya wrong timing.

Kwenye Midfield yetu kulikuwa na shida pia Matic was not in form lakin Pogba hakuwa sawa sawa pia always ukitaka kushinda dhidi ya united weak Link ni Pogba kwa sababu ana overconfidence but ni careless this time inachangiwa na kukosa match fitness.

Kwenye fullback tulikuwa hovyo kuliko kawaida fullbacks zetu alicheza ndani sana hivyo tukawa pinned kwenye box letu na hata zilipokwenda kushambulia hatukuweza kuwa na uwezo wa kuretain mpira kwenye final third yetu walau kwa dakika moja this was a weakness.

Kuna mengi ya kusema lakini mara nyingi mashabiki huwa tunaangalia upande unaotupa furaha.

Kiukweli partnership ya Bruno na Pogba ilikuwa fluke tu na ilikuwa exposed kuanzia game yetu na Southampton tuliyotoka 2-2.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mkuu ilikuwa

Goli la kwanza: magwaya anamkaba shoo

Goli la pili: magwaya anamkaba shoo

Goli la tatu: magwaya anamkaba shoo

Goli la nne: Magwaya anamkaba shoo

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Dah nimeumia sana Ole Gunar Solkjaer kufukuzwa kazi.

This is a fatal blow to me and actually wamemuonea the board hasn't backed Solkjaer enough.View attachment 1590399

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu kiukweli ulimpigania sn ila imeshindikana, huwezi kupigwa pigwa pale Streford end the home of trophy kizembe vile zen ukaachwa tu.
 
We amini kuwa tatizo la united ni kocha lakini mimi naamini siyo kocha.

Kuna maeneo kocha ana mapungufu yake lakini siyo kwa mechi kama ya leo.

Solkjaer hajamwambia Maguire akamkabe Shaw goli la kwanza na la pili, la tatu na la nne yote yametokana na sloppy defending ya captain wetu.

Kocha alikosea kumwanzisha Bailly na Maguire ni strong but careless defenders mara nyingi defenders wanaofanya tackles nyingi huwa wanakuwa careless hasa kuwa off position au wrong timing.

This is what happened kwenye defence yetu ilikuwa ni lazima tufanye tackling ili kupata mpira that means defence ilikuwa off position au ilikuwa inafanya wrong timing.

Kwenye Midfield yetu kulikuwa na shida pia Matic was not in form lakin Pogba hakuwa sawa sawa pia always ukitaka kushinda dhidi ya united weak Link ni Pogba kwa sababu ana overconfidence but ni careless this time inachangiwa na kukosa match fitness.

Kwenye fullback tulikuwa hovyo kuliko kawaida fullbacks zetu alicheza ndani sana hivyo tukawa pinned kwenye box letu na hata zilipokwenda kushambulia hatukuweza kuwa na uwezo wa kuretain mpira kwenye final third yetu walau kwa dakika moja this was a weakness.

Kuna mengi ya kusema lakini mara nyingi mashabiki huwa tunaangalia upande unaotupa furaha.

Kiukweli partnership ya Bruno na Pogba ilikuwa fluke tu na ilikuwa exposed kuanzia game yetu na Southampton tuliyotoka 2-2.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Serious mkuu, huoni udhaifu wa OLE??

Sawa Maguire, Baily, Martial, POgba, woodward, Glazers etc ,wana matatizo

But huoni kwamba Ole nae sio level ya Man U.


Mimi ni moja ya watu nilietamani OLE aturudishe kwenye ubora wetu.

Ila mpaka sasa naona kama tunampenda sana apewe kazi nyingine.
 
Kitu ambacho hawajajua wenzangu au mm ndio sijui nilikiona muda mrefu sana bruno fernandez alikuwa akicheza vizur sana na timu ilikuwa sawa kipindi pogba anaumwa lakin aliporudi tu kila kitu kikaanza kuwa hovyo ina maana pogba na bruno kucheza kwa wakat mmoja haiwezekani lazima mmoja akae bench
Sikupingi.
 
Kwahiyo mkuu ilikuwa

Goli la kwanza: magwaya anamkaba shoo

Goli la pili: magwaya anamkaba shoo

Goli la tatu: magwaya anamkaba shoo

Goli la nne: Magwaya anamkaba shoo

Goli la kwanza kaenda kumshikilia asicheze ule mpira.

Goli la pili kacheza faulo halafu akasahau kufanya marking.

Goli la Son la pili alishindwa kuzuia mpira uliopigwa na Sergei Aurier.

Goli la Kane alikuwa off position kazuia hata wachezaji wenzake wasifanye marking.



Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Serious mkuu, huoni udhaifu wa OLE??

Sawa Maguire, Baily, Martial, POgba, woodward, Glazers etc ,wana matatizo

But huoni kwamba Ole nae sio level ya Man U.


Mimi ni moja ya watu nilietamani OLE aturudishe kwenye ubora wetu.

Ila mpaka sasa naona kama tunampenda sana apewe kazi nyingine.
Mimi tatizo naloliona law Ole ni lassez affair attitude tu wachezaji wanamchukulia kama msela wao tu

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom