Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unatumia mfumo usiokupa matokeo, hiyo ni akili?

Wewe umefaidika nini na mfumo wa Ole?
Kwa takwimu za last season,, ole bado alikuwa bora kuliko hao wengine,,
Tatizo ni a break after covid every thing has changed..
Sijuwi shida nn?man u
 
Yataisha tu wazee! Ila sijui kama kumfukuza OGS kutatusaidia. Maana mpaka lini tutaendelea na timua timua ya makocha? Tunahitaji stability kwenye ngazi ya ukocha. Tuvumilie tu.

Ila utawala chini ya Bwana Edo nao ucheze nafasi yake vyema. Donny van de Beek ni sawa, ila tunahitaji zaidi uimara wa backline.

Tupige moyo konde. #GGMU
 
Hivi kweli kabisa, una Pogba, Fernandes, Bissaka, VDB, DJ, Greenwood, Rashford, De Gea na bado unaamini anayefanya msishinde ni Woodward kwa kutokumsajili Sancho! Kwa kutokumsajili Telles!

Huwa mnawaza kwa kutumia nini wazee??

Ile pale Arsenal mkiiweka individually na wachezaji wenu hao ni nani superior? Kati wanamweka Xhaka, Elneny na kina Niles na nyie kati tu mna Pogba, Fernandes na VDB, yet wamebeba trophies! Achilia mbali usajili wao wa kusuasua mara mia ya kwenu.

Na bado unakaa kuamini sababu ni Woodward hatoi pesa. Woodward aliyetoa kifusi kumnunua Maguire, Fernandes, na VDB. Au ni mpaka atoe pesa kila anapoombwa ndo walau mfike nusu fainali?

Yani kabisa unabeba kichwa kinachoamini Manchester hii ni mpaka imsajili Sancho, Haaland, Telles na wengineo ndo iweze kudominate ikicheza na timu kama Brighton na Crystal Palace achilia mbali kushinda! ... unabeba kichwa kinachoamini ni mpaka msajili heavily ndo muweze ku-throw off stiff competition!

Basi hiko sio kichwa bali kifuniko cha shingo.

.
Daah bora ya wewe SteveMollel umezungumza, pale hatuna kocha ila nashangaa Woodward na bodi yake hawalitambui hili?

Kumfunga Crystal Palace/Totenham ni mpaka tusajiri Sancho kweli?
 
Hivi kweli kabisa, una Pogba, Fernandes, Bissaka, VDB, DJ, Greenwood, Rashford, De Gea na bado unaamini anayefanya msishinde ni Woodward kwa kutokumsajili Sancho! Kwa kutokumsajili Telles!

Huwa mnawaza kwa kutumia nini wazee??

Ile pale Arsenal mkiiweka individually na wachezaji wenu hao ni nani superior? Kati wanamweka Xhaka, Elneny na kina Niles na nyie kati tu mna Pogba, Fernandes na VDB, yet wamebeba trophies! Achilia mbali usajili wao wa kusuasua mara mia ya kwenu.

Na bado unakaa kuamini sababu ni Woodward hatoi pesa. Woodward aliyetoa kifusi kumnunua Maguire, Fernandes, na VDB. Au ni mpaka atoe pesa kila anapoombwa ndo walau mfike nusu fainali?

Yani kabisa unabeba kichwa kinachoamini Manchester hii ni mpaka imsajili Sancho, Haaland, Telles na wengineo ndo iweze kudominate ikicheza na timu kama Brighton na Crystal Palace achilia mbali kushinda! ... unabeba kichwa kinachoamini ni mpaka msajili heavily ndo muweze ku-throw off stiff competition!

Basi hiko sio kichwa bali kifuniko cha shingo.

.
Mkuu Man U ina matatizo lukuki.

Kocha, ni *tip of an iceberg*
 
Yataisha tu wazee! Ila sijui kama kumfukuza OGS kutatusaidia. Maana mpaka lini tutaendelea na timua timua ya makocha? Tunahitaji stability kwenye ngazi ya ukocha. Tuvumilie tu.

Ila utawala chini ya Bwana Edo nao ucheze nafasi yake vyema. Donny van de Beek ni sawa, ila tunahitaji zaidi uimara wa backline.

Tupige moyo konde. #GGMU
United is too big for OGS

He is not the right manager to stabilize United

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
PTER tatizo la utd ni kocha, wachezaji wengi pale utd ni wazr japo wanazidiana, tukae humo mkuu.
We amini kuwa tatizo la united ni kocha lakini mimi naamini siyo kocha.

Kuna maeneo kocha ana mapungufu yake lakini siyo kwa mechi kama ya leo.

Solkjaer hajamwambia Maguire akamkabe Shaw goli la kwanza na la pili, la tatu na la nne yote yametokana na sloppy defending ya captain wetu.

Kocha alikosea kumwanzisha Bailly na Maguire ni strong but careless defenders mara nyingi defenders wanaofanya tackles nyingi huwa wanakuwa careless hasa kuwa off position au wrong timing.

This is what happened kwenye defence yetu ilikuwa ni lazima tufanye tackling ili kupata mpira that means defence ilikuwa off position au ilikuwa inafanya wrong timing.

Kwenye Midfield yetu kulikuwa na shida pia Matic was not in form lakin Pogba hakuwa sawa sawa pia always ukitaka kushinda dhidi ya united weak Link ni Pogba kwa sababu ana overconfidence but ni careless this time inachangiwa na kukosa match fitness.

Kwenye fullback tulikuwa hovyo kuliko kawaida fullbacks zetu alicheza ndani sana hivyo tukawa pinned kwenye box letu na hata zilipokwenda kushambulia hatukuweza kuwa na uwezo wa kuretain mpira kwenye final third yetu walau kwa dakika moja this was a weakness.

Kuna mengi ya kusema lakini mara nyingi mashabiki huwa tunaangalia upande unaotupa furaha.

Kiukweli partnership ya Bruno na Pogba ilikuwa fluke tu na ilikuwa exposed kuanzia game yetu na Southampton tuliyotoka 2-2.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
The police were doing Manchester United a favour when they Arrested Maguire
Dah nimeumia sana Ole Gunar Solkjaer kufukuzwa kazi.

This is a fatal blow to me and actually wamemuonea the board hasn't backed Solkjaer enough.
IMG-20201004-WA0004.jpg


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom