Kwa takwimu za last season,, ole bado alikuwa bora kuliko hao wengine,,Unatumia mfumo usiokupa matokeo, hiyo ni akili?
Wewe umefaidika nini na mfumo wa Ole?
Daah bora ya wewe SteveMollel umezungumza, pale hatuna kocha ila nashangaa Woodward na bodi yake hawalitambui hili?Hivi kweli kabisa, una Pogba, Fernandes, Bissaka, VDB, DJ, Greenwood, Rashford, De Gea na bado unaamini anayefanya msishinde ni Woodward kwa kutokumsajili Sancho! Kwa kutokumsajili Telles!
Huwa mnawaza kwa kutumia nini wazee??
Ile pale Arsenal mkiiweka individually na wachezaji wenu hao ni nani superior? Kati wanamweka Xhaka, Elneny na kina Niles na nyie kati tu mna Pogba, Fernandes na VDB, yet wamebeba trophies! Achilia mbali usajili wao wa kusuasua mara mia ya kwenu.
Na bado unakaa kuamini sababu ni Woodward hatoi pesa. Woodward aliyetoa kifusi kumnunua Maguire, Fernandes, na VDB. Au ni mpaka atoe pesa kila anapoombwa ndo walau mfike nusu fainali?
Yani kabisa unabeba kichwa kinachoamini Manchester hii ni mpaka imsajili Sancho, Haaland, Telles na wengineo ndo iweze kudominate ikicheza na timu kama Brighton na Crystal Palace achilia mbali kushinda! ... unabeba kichwa kinachoamini ni mpaka msajili heavily ndo muweze ku-throw off stiff competition!
Basi hiko sio kichwa bali kifuniko cha shingo.
.
Mkuu Man U ina matatizo lukuki.Hivi kweli kabisa, una Pogba, Fernandes, Bissaka, VDB, DJ, Greenwood, Rashford, De Gea na bado unaamini anayefanya msishinde ni Woodward kwa kutokumsajili Sancho! Kwa kutokumsajili Telles!
Huwa mnawaza kwa kutumia nini wazee??
Ile pale Arsenal mkiiweka individually na wachezaji wenu hao ni nani superior? Kati wanamweka Xhaka, Elneny na kina Niles na nyie kati tu mna Pogba, Fernandes na VDB, yet wamebeba trophies! Achilia mbali usajili wao wa kusuasua mara mia ya kwenu.
Na bado unakaa kuamini sababu ni Woodward hatoi pesa. Woodward aliyetoa kifusi kumnunua Maguire, Fernandes, na VDB. Au ni mpaka atoe pesa kila anapoombwa ndo walau mfike nusu fainali?
Yani kabisa unabeba kichwa kinachoamini Manchester hii ni mpaka imsajili Sancho, Haaland, Telles na wengineo ndo iweze kudominate ikicheza na timu kama Brighton na Crystal Palace achilia mbali kushinda! ... unabeba kichwa kinachoamini ni mpaka msajili heavily ndo muweze ku-throw off stiff competition!
Basi hiko sio kichwa bali kifuniko cha shingo.
.
Duh!Hivi mnakumbuka zile zama Old Trafford panaitwa machinjioni?😂🤣😂🤣😂🤣😂
Siku hizi pamekuwa kama uwanja wa fisi, ukiwa na genye unaenda kujipigia.
RIP mashetani wekundu....
YNWA!!!!!
Pogba akirudi Juventus utaelewa anachosema huyo jamaa.Vitu vingine mnamusingizia OLE tuu.
Sasa OLE kauwaje kipaji cha DJ.
United is too big for OGSYataisha tu wazee! Ila sijui kama kumfukuza OGS kutatusaidia. Maana mpaka lini tutaendelea na timua timua ya makocha? Tunahitaji stability kwenye ngazi ya ukocha. Tuvumilie tu.
Ila utawala chini ya Bwana Edo nao ucheze nafasi yake vyema. Donny van de Beek ni sawa, ila tunahitaji zaidi uimara wa backline.
Tupige moyo konde. #GGMU
We amini kuwa tatizo la united ni kocha lakini mimi naamini siyo kocha.PTER tatizo la utd ni kocha, wachezaji wengi pale utd ni wazr japo wanazidiana, tukae humo mkuu.
Dah nimeumia sana Ole Gunar Solkjaer kufukuzwa kazi.The police were doing Manchester United a favour when they Arrested Maguire
Ndio wakasajiliwa Maguire na BissakaHapana mkuu hata mourinho kipind anafukuzwa alitaka mabek wawili wapya
Fake hiyo mkuuDah nimeumia sana Ole Gunar Solkjaer kufukuzwa kazi.
This is a fatal blow to me and actually wamemuonea the board hasn't backed Solkjaer enough.View attachment 1590399
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ukiniletea comment hata moja ninayomponda utakuwa imefanya jambo jema sanaAcha unafiki, si mlikuwa mnamponda huyu