Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

dalot ameondoka, tafsiri yake ni kwamba brandon williams anarudishwa upande wake wa asili (beki wa kulia)

mara ya mwisho kupata huduma ya internet (juzi Ijumaa) niliona taarifa ya As roma kumuhitaji fosu mensah kwa mkopo kwenye dili la smalling (sijafahamu kinachoendelea), kama fosu mensah ataondoka huenda nafasi yake ikazibwa na ethan laird (natumai bado hajatolewa kwa mkopo).
Itamuwa jambo zuri mkuu
 
"Many of the Man Utd players need a good slap right now."

Patrice Evra, man of the people

manutd

[Sky Sports]
IMG_20201004_224022_648.jpeg
 
Kushinda big game kunahitaji tactical brilliance ya kocha maana wachezaji wa timu zote 2 wanakuwa wamezidiana uwezo kwa asilimia ndogo sana....Ole amefeli kilasiku unaona tu anaingia na 4-2-3-1 kilasiku karibu asilimia 89% ya game zetu anacheza mfumo huo na hata kutwist wachezaji hawezi kikosi kinatabirika kwa urahisi ......

lawama ya leo anahusika, tena asubuhi tu nikacomment humu kuwa DJ na bissaka viwango vimeshuka sababu ya kocha sasa ongezea na Maguire na soon bruno, wote wamekuwa wakawaida kwamaana kocha hana kitu kipya cha kuwaongezea
 
★Giants huwa wanakufa siku moja bana Shoutout kwao nikapige na Faru John kwanza
Mwnchester city 5
Manchester united 6
Liverpool 6 ...... mpira unaendelea

Liverpool wamekata umeme kitaa chatu
 
Magwaya ni uchochoro kiwango cha fifa kabisa, kinachomfanya asizungumziwe sana ubovu wake ni bei aliyonunuliwa,

Lindelof amebeba sana mzigo huu wa lawama nadhani leo ameutua kabisa, kwa sababu Huyu maguire kuna mpira mmoja kaenda kukaba, akamuelekeza shaw kwenda kumkaba mtu mwingine halafu akasahau kubana miguu, ikapigwa pasi kwenye kipago chake ikamkuta son akaweka kamba, maguire ni mzurulaji tuu uwanjani anakabia macho, then akikutana na mipira iliyimjia vizuri ndo anachukulia point, jamaa ni flopu flopu😡 anafanya mistake nyingi sana huyu panya magwaya
Umemaliza mkuu.

Afukuzwe fasta. Hatuwezi kumfukuza ole tukamuacha magwaya
 
★Shaw: "A club like MU should not be losing in this way and it is kind of embarrassing. We have let a lot of people down today, we have let ourselves down." ★

#GGMU


manutd |
 
Back
Top Bottom