kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,350
Jamaa watakuwa wanadaiwa na FreemasonsYani leo afadhali kesho naweza kupumua huko jobmaana liver kaniokoa na story inahamia kwake sasa rasmi..
Leo kuna nini kwani maana sio kawaida.


Jamaa watakuwa wanadaiwa na FreemasonsYani leo afadhali kesho naweza kupumua huko jobmaana liver kaniokoa na story inahamia kwake sasa rasmi..
Leo kuna nini kwani maana sio kawaida.


Dua la kuku halimpati mweweMsimu huu ligi haitabiriki
Bado akina ArsayNO na Chelshit kupitia hizi nyakati
Hahahahahah mkuu usikumbushie hayo mambo watu walisema Hana mpira mzur etiKuna jamaa alikuwa akinitukana sana nilipomwambia mourinho anatakiwa kuwa kocha wa hii timu kitu kakosa ni kuungwa mkono wa kutaka wachezaj wake sahihi ila kwa yote kikubwa uhai nilishambuliwa sana
Hahahahahah mkuu usikumbushie hayo mambo watu walisema Hana mpira mzur eti
Yaan makocha tuliowahi kupata baada ya Fergie ni JM na LVG tu


yule jamaaa anatumia picha ya kim daaaOle habaki.Kama ole akifukuzwa Itabidi aondoke na msukule wake (magwaya)
Walidhani tumewasahauTunahamia huku sasa
Nacheka kama mazuriMsiba tulionao hapa ni mkubwa mkuu.
Mtuwakilishe huko.
Tutakuja kuhani,