Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Goli la tatu lilikua ni baada ya red card
Tatizo PTER anataka tuamini kwamba Bailly hafai kuanza mbele ya Linderlof anasahau kwenye mpira mambo km haya huwa yanatokea hata barca alijichanganya tm ikafa akapigwa 8, so inatokea hyo japo cc mashabiki tunamlaumu kocha uwezo wake mdg cz tm haichezi vyema.
 
255719045758_status_80794b471c584a35a0dd988d3bde6af7.jpg
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kitu ambacho hawajajua wenzangu au mm ndio sijui nilikiona muda mrefu sana bruno fernandez alikuwa akicheza vizur sana na timu ilikuwa sawa kipindi pogba anaumwa lakin aliporudi tu kila kitu kikaanza kuwa hovyo ina maana pogba na bruno kucheza kwa wakat mmoja haiwezekani lazima mmoja akae bench
 
Back
Top Bottom