Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester united kuwa kwenye kundi gumu sioni kama tunaweza kufanya vibaya wachezaj tunao tena wa maana tu kwamba Rb Leipzig wana watu wa maana kutushinda sisi?

Psg ubora wao upo kwa mbape na neymar na tushacheza nao kila mmoja alishinda mech moja kwa mwenzie na tukamtoa ki msingi nidhamu ya mchezo na mbinu tu
Huna kocha.
 
unasema martial anakosa magoli? kuna weakness za martial ila sio kukosa magoli, ndio striker mwenye accuracy kubwa kama msimu wa tatu mfululizo kuanzia kipindi cha mou. si Hazard, aguero, vardy ama Kane ambae ana accuracy kumshinda yeye.
Martial anafunga lakini sio completed no 9..
Striker gani anapiga kichwa kafumba macho?
Striker anaogopa kujirusha?
Striker hapambani ?
Kama ni kufunga hata Fernandez anafunga nae ni no 9 ?
Mo sala anafunga sana nae ni 9 ?
Martial hana sifa kamili za center forward kama Kane,cavani,Diego Costa.lewandosky,,
Hebu nihesabie ktk magoli hayo aliyefunga martial ni magoli mangapi kafunga kwa kichwa?
Sasa striker gani hapigi kichwa?ukimzuia kupiga basi goli hakuna,,
Sifa ya no 9 kwanza mzuri kwa header,,na kushoot..
Kona utafungwa na faulo utafungwa..
 
Kwanza Man united haichezi mpira wa kupiga cross cause haina wingers na full backs wake siyo wapiga cross.

Pia Mwalimu ana prefer kucheza na kutengeneza magoli centrally.

Kwa vyovyote vile usajili wa Cavani hautakuwa na impact yoyote kwa sababu hatapata service sahihi from both flanks.



Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Man u hata corner hapati?
Cavani bila cross na anakufunga..
Ingia you tube umwangalie cavani aina ya magoli anayofunga..
 
Man u hata corner hapati?
Cavani bila cross na anakufunga..
Ingia you tube umwangalie cavani aina ya magoli anayofunga..
Mkuu sihitaji kuangalia You tube highlight kujua ubora wa Ednson Cavani.

Hata nikiangalia nilichokisema hakitabadilia ni mchezaji anayehitaji service sana kutoka kwenye wings

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Martial anafunga lakini sio completed no 9..
Striker gani anapiga kichwa kafumba macho?
Striker anaogopa kujirusha?
Striker hapambani ?
Kama ni kufunga hata Fernandez anafunga nae ni no 9 ?
Mo sala anafunga sana nae ni 9 ?
Martial hana sifa kamili za center forward kama Kane,cavani,Diego Costa.lewandosky,,
Hebu nihesabie ktk magoli hayo aliyefunga martial ni magoli mangapi kafunga kwa kichwa?
Sasa striker gani hapigi kichwa?ukimzuia kupiga basi goli hakuna,,
Sifa ya no 9 kwanza mzuri kwa header,,na kushoot..
Kona utafungwa na faulo utafungwa..
Wakati wanamuuza Lukaku wakasema Martial ndo atakayechukua nafasi.

Inamaana benchi halikujua udhaifu wa Martial wakampa hayo majukumu?

Ndo maana nasema kila siku, kocha hakuna. Ana bahatisha.

Kocha mwenye akili na uwezo hawezi fanya anachofanya Ole.
 
Mkuu sihitaji kuangalia You tube highlight kujua ubora wa Ednson Cavani.

Hata nikiangalia nilichokisema hakitabadilia ni mchezaji anayehitaji service sana kutoka kwenye wings

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mkuu cavani hategemei wings... Kwakuwa umekuja kubishana na sio fact,basi endelea kubishana,,wakati wachezaji wakubwa kama Luis saha,van persi wote wamepongeza ujio wa cavani,, endelea kubishana mkuu..
Screenshot_2020-10-04-09-52-28.jpeg
 
Wakati wanamuuza Lukaku wakasema Martial ndo atakayechukua nafasi.

Inamaana benchi halikujua udhaifu wa Martial wakampa hayo majukumu?

Ndo maana nasema kila siku, kocha hakuna. Ana bahatisha.

Kocha mwenye akili na uwezo hawezi fanya anachofanya Ole.
Ole hana tatizo kubwa sana kulinganisha na waliopita.,tatizo lake ni mfumo aliokuwa anautumia,,,akaona lukaku ni mzito,,apewe majukumu martial,,
Martial jukumu la no 9 haliwezi,,
So akija cavani tutacheza na mfumo .mwingine kabisa..
Martial atarudi left...cavani center forward...
 
Sina tatizo na ujio wa Cavani na wala suala la umri wake bado halinipi shida sana kwa kuwa tulihitaji namba 9 asilia.
Kwa upande mwingine ujio wa Cavani (34) aliyekuwa free agent zaidi ya miezi 2 kutokea siku 2 kabla dirisha halijafungwa unatia shaka kama kweli tuna plan nzuri za kumtumia au ni kuwanyamazisha mashabiki nasi tuonekane tuko bize sokoni.
Hadi kufikia jana clubs za ligi kuu zimefanya sajili 110 kwa ujumla wao lakini man utd imehusika na sajili moja tu,VdB.

Kwa sajili za dakika za mwisho kama hizi huonesha kuwa klabu pamoja na benchi la ufundi hakuna plan yoyote ila tunasukumwa na mihemko ya mashabiki tu. Refer usajili wa sanchez,bruno,VdB na sasa Cavani,zote hutokea dakika za mwisho mwisho na baada ya mashabiki kukomand sana halafu mwisho wa siku Ole anatokea kusifia usajili husika as if aliutaka na ndio alioletewa.
By the way,kuna dogo pale leeds united anaitwa Kalvin Phillips anaweza kutufaa sana kwa matumizi ya baadaye kwenye kiungo cha chini endapo miguu ya matic ikishindwa kutii takwa la akili yake.
 
Sina tatizo na ujio wa Cavani na wala suala la umri wake bado halinipi shida sana kwa kuwa tulihitaji namba 9 asilia.
Kwa upande mwingine ujio wa Cavani (34) aliyekuwa free agent zaidi ya miezi 2 kutokea siku 2 kabla dirisha halijafungwa unatia shaka kama kweli tuna plan nzuri za kumtumia au ni kuwanyamazisha mashabiki nasi tuonekane tuko bize sokoni.
Hadi kufikia jana clubs za ligi kuu zimefanya sajili 110 kwa ujumla wao lakini man utd imehusika na sajili moja tu,VdB.

Kwa sajili za dakika za mwisho kama hizi huonesha kuwa klabu pamoja na benchi la ufundi hakuna plan yoyote ila tunasukumwa na mihemko ya mashabiki tu. Refer usajili wa sanchez,bruno,VdB na sasa Cavani,zote hutokea dakika za mwisho mwisho na baada ya mashabiki kukomand sana halafu mwisho wa siku Ole anatokea kusifia usajili husika as if aliutaka na ndio alioletewa.
By the way,kuna dogo pale leeds united anaitwa Kalvin Phillips anaweza kutufaa sana kwa matumizi ya baadaye kwenye kiungo cha chini endapo miguu ya matic ikishindwa kutii takwa la akili yake.
 
Tulisema kumuuza Lukaku Kwa kisingizio sio dynamic striker lilikuwa kosa kubwa sana now replacement wamekuwa Ighalo toka China+ 34 years Cavani the good thing OGS ndio in charge makocha waliopita walitukanwa kufanya decision kama hizi


Sina tatizo na Cavani United ilipaswa kupata striker kama yeye au Mandzukic kabla ya kumsajili Ighalo maana hakuna alichofanya tangu amesajiliwa

Kuna tatizo kubwa kwenye timu yetu Cavani alikuwa free miezi karibia 3 lakini tumesubiri bado siku 3 usajili ufungwe ndio tunamsajili na hatujasajili wachezaji kwenye nafasi za muhimu mpaka sasa
Miezi 9 ama 10 to be exact, cavani alikuwa Free kudiscuss mkataba toka january.
 
Back
Top Bottom