Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
Inaumiza sana kumuuza huyu dogo. Anakitu kikubwa sana ndani yake.Leeds are preparing a £25m bid for Daniel James.
Inaumiza sana kumuuza huyu dogo. Anakitu kikubwa sana ndani yake.Leeds are preparing a £25m bid for Daniel James.
Inaumiza sana kumuuza huyu dogo. Anakitu kikubwa sana ndani yake.
Jembe hilo la kupigia PSG. Cavani anahasira nao hao.
Atacheza left ,,cavani no 9 .greenwood 7.. Rashford ataingia sub ..kwa martial au greenwood..Lazy boy martial akili imkae sawa
Hahahahahahahahah Fan wa Manchester united unainunga mkono Leeds united Serious Mkuu inaonesha hujawahi kuiangalia Derby ya Manchester United vs Leeds.Yes nitaiunga mkono Leeds....Sio dhambi wala kosa kisheria.....Nitaiunga mkono, sio kuwa shabiki wake
Kwenye ile front 3 ya Man united hakuna mchezaji wa kumpiga benchi Rashford.Atacheza left ,,cavani no 9 .greenwood 7.. Rashford ataingia sub ..kwa martial au greenwood..
Sawa mkuu..tupo pamoja,,kushabikia timu mbili inawezekana,,lakini isiwe sehemu moja,,au unawezaipenda Barcelona,,au madrid lakini huwezi penda zote kwa pamoja,,Mkuu mimi ni mfuasi na shabiki kindakindaki wa Manchester United. Nina jezi za kina York, Cantona, Beckham na Vernistrooy hadi leo kabatini...Sharp, Vodafone, Aon, AIG..nk.Nimeisifia Leeds kwa ubora wao katika kipindi ambacho team yangu inavurugwa na wapuuzi kadhaa pale kwenye uongozi. Hii ni sawa na kuvutiwa na mchepuko kwa upuuzi wa mke wa ndani, which is normal for a complete MAN.
Mimi binafsi kufungwa kwa chama langu nimefurahi sana. Kwa sababu naona kuna faida kadhaa tutapata kabla dirisha la usajili halijafungwa. Ya kwanza tutasajili wachezaji siyo chini ya mmoja, sancho uhakika. Vilevile naona jinsi martial na rashford watakavyotengenezewa competition mulemule, ataanza martial then rashford sub and vice versa is true, kitu ambacho ole na benchi lake la ufundi, lazima wamekiona. Mwisho ole nimwonavyo ni mnafki mwenye faida upande mwingine, ile timu imecheza kiboya vile usikute waliambiwa na kocha na benchi la ufundi, maana bila hivyo hakuna njia nyingine ya kuwashawishi board ya man utd, maana ni vichaa wale(kumbuka waliwahi muambia mourinho kuhusu kutokubaliana na hoja ya kumuuza martial kwa sababu wanamuona kama nacmento pele). Hayo ni mawazo yangu.
Nadhani kuna umuhimu wa kuwa wavumilivu.
Naona kama mambo yanajipa.
Wale wa kupiga gap pointi 40 sijui, wasahau hilo msimu huu.
#MUFCMtazamo wako au wa ole ?Kwenye ile front 3 ya Man united hakuna mchezaji wa kumpiga benchi Rashford.
Hakika mkuu..Penison,
Ktk front 3 yetu kwangu mimi binafsi mchezaji mwenye akili timamu pale ni Mason Greenwood. Japo ni mdogo kiumri na ni hatari kumpa majukumu makubwa ila kawazidi sana Rashford na Martial almost kila kitu. Kitu pekee wanachomzidi ni umri tu.
Nadhani kuna umuhimu wa kuwa wavumilivu.
Naona kama mambo yanajipa.
Wale wa kupiga gap pointi 40 sijui, wasahau hilo msimu huu.
#MUFC
Sijui kwanini usajili wa Edson Cavani siuelewi kabisa.Jembe hilo la kupigia PSG. Cavani anahasira nao hao.
Cross zipi ?Cavani, hapa angalau zile cross hazitakua zinapita bila kutendewa haki
Zinazowafanya muone man u haina natutal 9
Huyo jamaa ni hatari sana mkuu,,mm nimemwangalia karibu mechi zake zote za leage one..France,,Cavani, hapa angalau zile cross hazitakua zinapita bila kutendewa haki
Kwanza Man united haichezi mpira wa kupiga cross cause haina wingers na full backs wake siyo wapiga cross.Zinazowafanya muone man u haina natutal 9