Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

itafika wakati atataka kumuuza ad bruno wasipoangalia mana, huyu kocha hana mbinu za kiufundi kabsa kashusha viwango vya wachezaji toka aje mfano daniel james, bissaka , maguire, hata bruno ukianza kuangalia unaona ananza kushuka na si ajabu hata sancho akaja akawa boya tu, mana kocha hatuna kabisa.
Lukaku aliyemkataa ndo kawa mchezaji bora uropa na mpaka leo hana mpango wa kusajili ril no 9 nahisi maumivu kila nikicheki timu yangu
Hivi Ole hana mpango wa kusajili au board yetu haina uwezo wa kusajili ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
★Kuna muda inabidi tufanye madhambi kwa lengo la kurekebisha makosa bila kuangalia itatugharimu kiasi gani mfano shule mkiwa mmepewa adhabu kama kuna mtu atagomea adhabu uwezekano wa adhabu kupewa yeye unakuwepo mkubwa sana na ndivyo nilifikiri kwa Man U kwamba wakikosa kuingia fainali wakuu wa bodi na Meneja kwa ujumla watakuwa wameona mapungufu ya timu na kuihudumia panapo stahiri lakini plan yangu haijafanya kazi nahapo ndipo ntaonekana namakosa ila ingefanyikiwa pasingekuwa na doubt yeyote★
Maombi yako yalitugharimu sana.

Kuombea mabaya team yetu haitasaidia chochote.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli ila shida haiwezi kuwa ni Pogba na Martial tu..huyo Martial hata Mourihno alikuwa hamkubali..Sababu za kutofanya vizuri ziko nyingi

Yote ni makombe lakini hatuwezi kupiga kelele mwezi mzima eti kisa tumeshinda carabao cup n.k...Hivi ni vikombe vya kawaida..Ubora wetu inabidi upimwe kwa kuchukua EPL na Champions League
Anavyostahili kutwaa Arsenal tu

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Hilo kundi ni jespesi sana kwa united.

Tutakuwa wakwanza kuvuka kwenye kundi hilo.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app

Manchester united kuwa kwenye kundi gumu sioni kama tunaweza kufanya vibaya wachezaj tunao tena wa maana tu kwamba Rb Leipzig wana watu wa maana kutushinda sisi?

Psg ubora wao upo kwa mbape na neymar na tushacheza nao kila mmoja alishinda mech moja kwa mwenzie na tukamtoa ki msingi nidhamu ya mchezo na mbinu tu
 
Halafu mkuu mi suala la usajiri ni kama kamali tu tunaweza kusajili na bado tukawa palepale kwa mfano angalia city ule usajili wake msimu ukiopita kapigika sana sisi wenyewe tumepiga nyumban kwake na kwetu wachezaj tulionao wanahitaj mbinu nzur tu za kocha na hamasa angalia liverpool pesa walizotumia kwa kujennga ukuta wao ni ndogo sana ila kuna hamasa ya kocha na mbinu nzur sisi tunawachezaji wengi wa gharama na mishahara mizur lakin bado tunayumba kidogo sio sana binafsi hata tusiposajili naimani sana na timu yangu nikiangalia kiungo chetu si kibaya kocha akomae na pogba akaze mata bado ana kitu

Bruno
Don van de beek
Fred
Matic
Scott
Pogba~~mwenyewe cha uvivu
Mata

Eneo ambalo huwa silipendi ktk hii timu yetu ni kwa martial na rashaford hawa watu wanawafanya viungo wetu kuwa na wakat mgumu sana wanapoteza nafasi nyingi na kukosa ubunifu wanakabika nafikir labda hapo kocha angepaangalia sana na ndipo msimu ulipoisha pametupa drooo za kutosha

Kwa hiyo hata tusiposajir ni poa tu tuangalie msimu ujao ukiangalia gharama zenyewe daaa sancho ni mchezaj mzur ila bei yake ipo juu sana national teama anahangaika sana vipi kama mfumo wa dortmund unambeba? Kama ntakuwa nakosea kwa sancho tusahihishane kila mmoja ana maono tofauti.

Hata arsenal wanasajiri vizur sana lakin kocha anaongeza kitu
Liverpool hakutumia pesa ndogo kuimarisha ukuta wake mkuu angalia vizuri record zako.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
★Kuna muda inabidi tufanye madhambi kwa lengo la kurekebisha makosa bila kuangalia itatugharimu kiasi gani mfano shule mkiwa mmepewa adhabu kama kuna mtu atagomea adhabu uwezekano wa adhabu kupewa yeye unakuwepo mkubwa sana na ndivyo nilifikiri kwa Man U kwamba wakikosa kuingia fainali wakuu wa bodi na Meneja kwa ujumla watakuwa wameona mapungufu ya timu na kuihudumia panapo stahiri lakini plan yangu haijafanya kazi nahapo ndipo ntaonekana namakosa ila ingefanyikiwa pasingekuwa na doubt yeyote★
Bodi ya united hawana uwezo wa kusajili zaidi ya kupiga porojo magazetini tu.

Mpaka mchezaji mtangazwe ndiyo utajiridhisha kuwa united tumesajili bila hivyo hakuna kitu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Manchester united kuwa kwenye kundi gumu sioni kama tunaweza kufanya vibaya wachezaj tunao tena wa maana tu kwamba Rb Leipzig wana watu wa maana kutushinda sisi?

Psg ubora wao upo kwa mbape na neymar na tushacheza nao kila mmoja alishinda mech moja kwa mwenzie na tukamtoa ki msingi nidhamu ya mchezo na mbinu tu
PSG ni timu yenye watoto wengi kama united tu kwa vyovyote vile kundi letu ni kundi la watoto.



Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Manchester united kuwa kwenye kundi gumu sioni kama tunaweza kufanya vibaya wachezaj tunao tena wa maana tu kwamba Rb Leipzig wana watu wa maana kutushinda sisi?

Psg ubora wao upo kwa mbape na neymar na tushacheza nao kila mmoja alishinda mech moja kwa mwenzie na tukamtoa ki msingi nidhamu ya mchezo na mbinu tu
Threat pekee PSG ni Mbappe tu huyo Neymar hana lolote.

Mchezaji anayeweza kukosa clear chance tano hawezi kuwa threat kwa timu yoyote

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Liverpool hakutumia pesa ndogo kuimarisha ukuta wake mkuu angalia vizuri record zako.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app

Kuna
Matip free
Joe gomez
Andrew Robertson
Trent Alexander-Arnold
Virgil Van Dijk

Hapo wa gharama ni Virgil Van Dijk basi

Kwetu sasa

Shaw
Bailly
Maguire
Lindelof
Bissaka

Siongei vibaya kuna muda hata bodi inabidi ijifikirie mara 2 kutoa mpunga
 
Kuna
Matip free
Joe gomez
Andrew Robertson
Trent Alexander-Arnold
Virgil Van Dijk

Hapo wa gharama ni Virgil Van Dijk basi

Kwetu sasa

Shaw
Bailly
Maguire
Lindelof
Bissaka

Siongei vibaya kuna muda hata bodi inabidi ijifikirie mara 2 kutoa mpunga
Mbona umemsahau Alisson ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Threat pekee PSG ni Mbappe tu huyo Neymar hana lolote.

Mchezaji anayeweza kukosa clear chance tano hawezi kuwa threat kwa timu yoyote

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app

Mkuu neymar ni hatar zaidi ya mbappe nakwambia ukweli kuna muda watu walikuwa had wakienda mbali hazard ni bora ya neymar yaani hao wote wawili mbappe na hazard hawawezi kumfikia neymar kwa lolote lile nakwambia ukweli
 
★Wanaona Tupo League ya Mabingwa League ngumu hata huruma kutuonea sisi MASHABIKI hawana huku si kuuwana kwa Presha huku★
Bodi ya united hawana uwezo wa kusajili zaidi ya kupiga porojo magazetini tu.

Mpaka mchezaji mtangazwe ndiyo utajiridhisha kuwa united tumesajili bila hivyo hakuna kitu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu neymar ni hatar zaidi ya mbappe nakwambia ukweli kuna muda watu walikuwa had wakienda mbali hazard ni bora ya neymar yaani hao wote wawili mbappe na hazard hawawezi kumfikia neymar kwa lolote lile nakwambia ukweli
Neymar hana hatari yoyote sema ni machachari kuliko Mbappe.

Neymar hawezi kuwa threat kiasi cha kutisha kucheza nae kwanza anakabika na predictable sana.



Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
★Wanaona Tupo League ya Mabingwa League ngumu hata huruma kutuonea sisi MASHABIKI hawana huku si kuuwana kwa Presha huku★
Probably wameshindwa kusajili kwa sababu imejengeka kuwa United wanatumia pesa nyingi kusajili hovyo hovyo.

Kama timu nyingine yoyote ingemtaka Jadon Sancho ingeweza kumpata chini ya milion mia but kwa sababu ni united lazima borussia wawe bold.

Tumetengeneza precedent ya kupigwa kwenye transfer Market hatuwezi kuiondoa hii hali kirahisi labda tuamue kuimarisha academy yetu.

Sokoni tunapigwa sana katika mazingira ambayo timu zingine ingeweza kumpata mchezaji kwa bei rahisi tu.

Huenda recruitment department yetu imejaa washamba kwenye transfer market.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom