Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Penalty United
_20200817_083203.JPG
 
Nafikiri msimu ujao ni muda wa kumuondoa ukapteni Maguire na kumpa Bruno Fernandez hebu imagine Bruno angekuwa na kaptain band Lindelof angekuwa mpole.


Sababu ya pili Maguire jinga sana shenzi kabisa linaangalia ball zinapita au linakwepa ball.

Mechi na Copenhagen Bailly alimbeba alafu kocha jinga Unauachaje Bailly.


Next thing: Waingereza washenzi sana Rashford from today sikupendi manina zako. Maguire, Wan-Bissaka, wote hatuna timu pale.


Nahisi tunahitaji kocha Mkali now ambae muda wote ni kufokea uzembe hata kupiga Sub na kuuza matatizo ila anayeheshimu wachezaji wenye bidii.


Mnaosema Man U penalty, kwani tunachukua mpira na kupiga bila Refa?

Bruno ana goli 8 kati ya mechi 10 EUROPA tuzo inaenda kwake haya basi hater mchonge.

Brandon ubarikiwe ulijitahidi kupambana ila likaptain bovu
 
✓Maguire hapaswi kuwa Captain,maana ana makosa mengi sana ambayo hata yeye inabidi asimamiwe..hii combo yake na Lindelof kuna wakati wanacheza kama walevi,,walishindwaje kummark mchezaji mmoja kwenye lile goli la pili?===CB highly needed

✓Rashford yupo out of form tokea tulivyorudi kwenye corona break hadi leo..anarukaruka tu...Kocha atafute Clinical natural no 9,Martial awe anatokea Kushoto na huyo Rashford na wapokezane based on their forms..Kulia akipatikana Sancho mambo yataenda

✓AWB naye hatoshi wakuu tusiwe wanafki..Man United haiwezi kuwa na mchezaji First eleven asiyeweza kupiga hata pasi au krosi nzuri moja kwenye mechi..halikubaliki hili.

✓Work rate ipo chini sana,Ole inabidi a-demand vitu zaidi kutoka kwa wachezaji wake..ukiwaacha Fred na Brandon wengine walikuwa wanakabia macho tu na kutembea kama vile wamefungwa mawe miguuni

Ole inabidi atafute wafuatao kwanza ndo tuongee..vinginevyo tutarajie msimu mwingine wa hovyo;

✓Striker
✓CB
✓RW
 
Nafikiri msimu ujao ni muda wa kumuondoa ukapteni Maguire na kumpa Bruno Fernandez hebu imagine Bruno angekuwa na kaptain band Lindelof angekuwa mpole.


Sababu ya pili Maguire jinga sana shenzi kabisa linaangalia ball zinapita au linakwepa ball.

Mechi na Copenhagen Bailly alimbeba alafu kocha jinga Unauachaje Bailly.


Next thing: Waingereza washenzi sana Rashford from today sikupendi manina zako. Maguire, Wan-Bissaka, wote hatuna timu pale.


Nahisi tunahitaji kocha Mkali now ambae muda wote ni kufokea uzembe hata kupiga Sub na kuuza matatizo ila anayeheshimu wachezaji wenye bidii.


Mnaosema Man U penalty, kwani tunachukua mpira na kupiga bila Refa?

Bruno ana goli 8 kati ya mechi 10 EUROPA tuzo inaenda kwake haya basi hater mchonge.

Brandon ubarikiwe ulijitahidi kupambana ila likaptain bovu


Mpaka kesho ukiniambia Lindelof anamwekaje Bailly bench nabaki nashangaa tu labda Ole anakaubaguzi au sijui Mimi kipofu.

Naomba msaada hasa katika eneo la tactics kwasababu mara nyingi one against one Lindelof anaweza kusababisha mkafungwa kijinga.
 
Kocha wa Man united watamghalim Sana Wachezaji wa kiingereza..nina uhakika utumbo aliokuwa anaucheza Rashiford,ingelikuwa Ingalo angelikuwa amefanyiwa Sub dakika ya 30 first half.
Umeona sahihi kabisa.

Wacheaji wa uingereza hakuna kitu sahivi.

Lingard. Phill Jones. Maguire. Rashford. Bissaka.

Wote wapo United.
 
Back
Top Bottom