Mancity wapo UrenoNasikia ili kupunguza gharama man city walikuwa wanawasubiri ili mrudi wote Manchester kwa ndege moja![]()
Acha kujifariji mkuu. Hakuna bahati kwenye soka . Ukishindwa kutumia nafasi unazopata lazima utaadhibiwa tu
Umesema kabisa hapo kuwa timu imetengeza nafasi nyingi ila mpira uligoma kuingia wavuni , maana yake ni kuwa Man u weren't clinical. Sevilla wao 5 shots 3 on target 2 goals. They took their chances .
Man Hakuna natural number 9 pale mtu ambae ni muuaji type ya Aguero, Lewandowski Cavani .,martial sio NATURAL number 9
Katika game hizi 2 copenhagen na sevilla Man wamepiga zaidi ya shots 30 lakini magoli mawili yaliyopatikana ni kwa njia ya penat . Nafasi zinatengenezwa kweli ila umaliziaji hafifu
Enewei body language ya wachezaji wenyewe ilikua inaonesha kuwa nafasi ya 3 inawatosha na msimu ujao watacheza UCL hivo waliona hawana presha sana
Mancity wapo Ureno
Man utd wapo Ujerumani
Are u NUTSS!!!!!!??????
Why would i do that!??Hata hivyo umeonyesha ujasiri, mpaka muda huu hujajipiga ban!!
@xYz07Tushakubaliana kama Rashford ni welbeck aliyechangamka ...huyu dogo simpendi toka kipindi cha Mourinho
Magalhaes close joining ArsenalCB: Magalhães (£18)
DM: Neves (£45) // Ndidi (£40)
RW: Sancho (£108)
ST: Mitrović (£18)
Magalhães, huyu ni kama Wan-Bissaka wa katikati. Akija United ataimarisha ukuta wetu vizuri sana.
Neves // Ndidi. Hawa ni aina ya wachezaji muhimu sana katika eneo la kati, ukizingatia Matić umri umeenda tukimpata mmoja wapo kati ya hao kiungo chetu kitakuwa imara sana.
Sancho. Tumeteseka miaka mingi sana kumpata mtu sahihi wa kucheza kama Right Winger, James kaja ila bado ana mengi ya kujifunza. United wanapaswa kuvunja kibubu. Sancho ni mtu sahihi tunapaswa kuitumia hii nafasi kujiimarisha.
Mitrović. Sio mchezaji ambaye yupo sokoni ila ni cheap option ya nafasi ya striker. Huyu jamaa sipatii picha akizungukwa na Rashford, Sancho, Pogba, Bruno. He's far better than Martial. Ni moja ya mmaliziaji mzuri sana.
Hawa wachezaji wote umri wao unaendana na sera za timu. Kwa umri wao wanakupa muda mzuri kuunda kikosi huku bado wakiwa katika umri mzuri kucheza soka.
NOTE: HIZI TRANSFER ZOTE HAZITAFANYIKA MSIMU HUU ILA HIVI NDIYO JINSI UNITED WANAPASWA KUINGIA SOKONI.
😂😂😂😂😂😂😂hawa sevila gori chache tunawafunga leo ni nne.
Nyumbu mama na baba ako.
Yule Bibimawe auYule bi harusi aliyetualika kwenye ndoa yake kakimbilia wapi?!![]()




Takataka kama takatakaTushakubaliana kama Rashford ni welbeck aliyechangamka ...huyu dogo simpendi toka kipindi cha Mourinho




Kunawakati mpira una amriwa na bahati, Timu imecheza vizuri imepata nafasi nyingi ila bahati aikua kwa man u.sevilla wamecheza kiasi ila bahati ilikua upande wao.
Mkuu kajinyonge kwani shi ngap★Hata hamu ya kulala sina hamu ya kuchat sina hamu ya kuwazia mechi iloisha ndio sina kabisa Hapa mapigo ya Moyo yanaenda hovyo hovyo tu ningekuwa mlevi ningekunywa hata barafu ya konyagi nazani ingemaliza haya machungu Usiku Mwema★




Nasikia ili kupunguza gharama man city walikuwa wanawasubiri ili mrudi wote Manchester kwa ndege moja![]()





