Acheni kulaumu kila kituHamna timu pale, tukiwaambiaga vijiweni mnanyanyuka watatu kuanza kubisha bila msingi wowote.
Hili kila siku nasema humu hii safu yetu ya ushambuliaji haina wachezaji serious sana.Suala si Matic Mimi naona safu ya ushambuliaji uzembe mwingi
Kama Lyon na Man City jana.Kunawakati mpira una amriwa na bahati, Timu imecheza vizuri imepata nafasi nyingi ila bahati aikua kwa man u.sevilla wamecheza kiasi ila bahati ilikua upande wao.
Kunawakati mpira una amriwa na bahati, Timu imecheza vizuri imepata nafasi nyingi ila bahati aikua kwa man u.sevilla wamecheza kiasi ila bahati ilikua upande wao.
Labda Mimi ndo sifahamu.Kiwango cha kocha kipo chini kuliko hata wachezaji. Mbinu zishafeli hadi dk ya 80 no sub?

mi nilisema hii timu huwa inashinda kwa mizuka tu ya wachezaji siku wakifurahi wanaupiga siku wakivurugwa ndo kama hivi.