msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,688
- 8,801
Ukitoka kuangalia bayern juzi halaf ukiangalia utd leo yan daaa..
Mtaendelea kupewa vipigo mwanzo mwishoAcheni kulaumu kila kitu
Mbona timu iko vizuri kuliko mwanzo!
Man u tupewe Nini?
Heee.. Ballon d'or tena hastahili?Martial hastahili kucheza man u.
Hahahaha mumefukuliwa vya kutoshaUtopolo kama Utopolo Sevilla anajifukulia mtaro anavyotaka leo..
Come on Sevilla
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app





Magoli akose Martial lawama kwa kocha, Dunia haina usawa hii.Sosha hamna kocha
2017/2018 Man Utd kachukua EuropaIs this serious??View attachment 1539665
3 years no trophy???
Hivyo ndivyo tunaita kucheza kiubingwa. Sevila kombe lake lile anajua nini cha kufanya ili tu afike final.Kunawakati mpira una amriwa na bahati, Timu imecheza vizuri imepata nafasi nyingi ila bahati aikua kwa man u.sevilla wamecheza kiasi ila bahati ilikua upande wao.
Bayan si watu wazuriUtopolo kama Utopolo Sevilla anajifukulia mtaro anavyotaka leo..
Come on Sevilla
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Acheni kulaumu kila kitu
Mbona timu iko vizuri kuliko mwanzo!
Man u tupewe Nini?
Jesus Is LordMaguire tumepigwa
Bisaka ametepeta
Rashid apelekwe kwa mkopo Watford
Sosha fukuza
Lindelof auzwe

Goal Attemp Man Utd 20Hakuna mchezaji aliye cheza vibaya, timu imejituma mwanzo mwisho ila Sevilla wanabahati kwa Man u, Sevila wametengeneza nafasi chache sana, man u wametengeneza nafasi nyingi ila mpira uligoma kuingia wavuni.
Mbinu za kocha zilikua sahihi timu imeshambulia sana ikabaki mpira kuingia wavuni lakini haikua siku ya Man u. Kuna siku kwenye soka inakua ivyo.
hakuna bahati kwenye mpira,football is science,kila kitu kinapangwa.Man Utd takataka lazima tukubali.Hakuna mchezaji aliye cheza vibaya, timu imejituma mwanzo mwisho ila Sevilla wanabahati kwa Man u, Sevila wametengeneza nafasi chache sana, man u wametengeneza nafasi nyingi ila mpira uligoma kuingia wavuni.
Mbinu za kocha zilikua sahihi timu imeshambulia sana ikabaki mpira kuingia wavuni lakini havikua siku ya Man u. Kuna siku kwenye soka inakua ivyo.