Hivyo vitu ndivyo professional anavyopaswa kuw. Akili inabidi iwe sharp. Kwa wachezaji wa Kibongo hii kitu hawana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeangalia goli la Scoty mara mbili mbili, hata haieleweki Scoty ametokea wapi kipa alivyoanzisha mashambulizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app


