Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nawaza tu ni jinsi gani tuta-lineup Pogba atakavyorudi na kuwa na nia ya kubaki na sisi
Pogba auzwe tu, pesa yake ilete wachezaji wengine wazuri, yeye na wakala wake wasumbufu sana, akiendelea kubaki ataanza kudai mshahara mkubwa zaidi anayolipwa sasa £290000mil, atavuruga dressing room huyu kirusi, kina bruno nao watataka walipwe kama yeye (Bruno salary yake haifiki hata £100000) ila cheki anacho offer uwanjani
Hata ujio wa Bruno ni kuziba pengo la Pogba

Jana OT majeruhi kina Rashfod walikua uwanjani, sasa hapo ebu mcheki Pogba picha aliyoweka jana IG sijui yupo wap uko, ktk IG yake hapost chochote abt utd zaidi ya matangazo yake ya adidas, huyu wa kuuzwa tu, kule Seria A kuna corona virus, Laliga kumepoteza mvuto, kule France hata Mbape hapataki ligi ya timu moja, kazi kwake kirusi
Screenshot_20200309-203037.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuongelei majina makubwa, tunaongelea timu kubwa, yenye mpira mkubwa

Chelsea kwa sasa ni timu ya kawaida sana, City na Chelsea ni mbingu na ardhi

Anyway... hata hivyo kwa tafsiri ya haraka haraka unaposema timu kubwa England, kichwani majina yafuatayo yanakuja kichwani Man United, Man City, Liverpool, Arsenal, Chelsea... muda mwingine hata Spurs..
Na hii haijalishi timu ipo kwenye form gani wakati huo... Maana siku za nyuma specifically (2015-2016) Leicester walikuwa kwenye form nzuri kuliko sisi timu kubwa.. lakini haikumfanya awe timu kubwa.

Bila shaka, you meant Chelsea hakuwa kwenye form right? although, still huu msimu bado sio mzuri kwake and she is still considered as katimu kakubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi watu bado mnaamini Pogba atabadilika

Pogba sio United player, jaribu kuangalia usajili wote unaofanyika kwa sasa, personality ya wachezaji hao ipo tofauti na Pogba

Dani James, Maguire, Wan Bissaka na Fernandes wote ni self less, humble, die hard mentality, low profile off the pitch, team players & ready to die for your mate....... Pogba hana hata kimoja

Time for Pogba to go
Pogba likitulia na likajituma, United itaimarika. Pogba anatokea kushoto, Bruno 10 alafu kati Fred na Matic

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili Bruno au Pogba wafanye vizuri ni lazima acheze free role.

Sasa kuwachezesha pamoja itakuwa risk sana defensively.

Nachokiona mm Pogba akipona huenda DMs mmojawapo atakuwa sacrificed au Bruno atakuwa forced kucheza right wing au Bruno Fernandez atakuwa rested.

Ngoja tuone Solkjaer atakuja na plan gani ya kuaccomodate wote wawili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni mtihani mwingine kwa Solskjaer..itakuwa ngumu sana yeye kumweka benchi Bruno
 
Kwa mtazamo wangu naona Bruno na Pogba kucheza pamoja, timu itakosa balance pale katikati

Wote wawili by nature sio defensive players japo Bruno anaweza kufanya hayo majukumu zaidi kuliko Pogba (box to box)

Ole anaweza kuwachezeaha wote katika mfumo wake pendwa wa 4 2 3 1 ambapo anaweza kumchezesha Pogba kwenye hiyo 2 upande wa kushoto na Bruno kwenye hiyo 3 katikati, hofu yangu ni kwamba timu itakuwa bora sana ikiwa na mpira lakini itatepeta sana ikiwa inashambuliwa

Pogba kupewa free role ni kuwapa mzigo wenzake wa kumzibia mashimo, Pogba sio Mesi, Pogba sio Ronaldo....... Pogba hapaswi kupewa free role, akaze kalio kama wenzake
Ili Bruno au Pogba wafanye vizuri ni lazima acheze free role.

Sasa kuwachezesha pamoja itakuwa risk sana defensively.

Nachokiona mm Pogba akipona huenda DMs mmojawapo atakuwa sacrificed au Bruno atakuwa forced kucheza right wing au Bruno Fernandez atakuwa rested.

Ngoja tuone Solkjaer atakuja na plan gani ya kuaccomodate wote wawili.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtazamo wangu naona Bruno na Pogba kucheza pamoja, timu itakosa balance pale katikati

Wote wawili by nature sio defensive players japo Bruno anaweza kufanya hayo majukumu zaidi kuliko Pogba (box to box)

Ole anaweza kuwachezeaha wote katika mfumo wake pendwa wa 4 2 3 1 ambapo anaweza kumchezesha Pogba kwenye hiyo 2 upande wa kushoto na Bruno kwenye hiyo 3 katikati, hofu yangu ni kwamba timu itakuwa bora sana ikiwa na mpira lakini itatepeta sana ikiwa inashambuliwa

Pogba kupewa free role ni kuwapa mzigo wenzake wa kumzibia mashimo, Pogba sio Mesi, Pogba sio Ronaldo....... Pogba hapaswi kupewa free role, akaze kalio kama wenzake

Sent using Jamii Forums mobile app
..Mara ooo pogba akiwa free ndo anacheza vizuri..Yaani wachezaji ndani wapo 11 vs 11,hiyo nafasi ya mtu kuwa na free inatoka wapi??

He must work his arse out..
 
Hizo story mimi huwa siziungi mkono kabisa

Akina De Bruyne wanakaza kalio, halafu pale United tuwe na mtu wa kucheza free!!
..Mara ooo pogba akiwa free ndo anacheza vizuri..Yaani wachezaji ndani wapo 11 vs 11,hiyo nafasi ya mtu kuwa na free inatoka wapi??

He must work his arse out..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna kosa ambalo atalifanya OGS na kuharbu hii momentum ya team na dressing room ni kujarbu kumuaccomodate Pogba kwa expenses ya wachezaji wengne.

Team kwa sasa iko very stable kuanzia beki mpka ushambuliaji hata Martial japokua mvivu ila anafunga na kusaidia team

Bruno ameleta balance kubwa kwenye team kias kwamba unaona wachezaj wote wana morali ya kuitumikia team kwa moyo wote.

Pogba ni mchezaji mzur tena mzur sana ila kwa Manchester united ya sa hv tunahitaji team work kuliko uzur wa mchezaji mmoja mmoja

Chukua mfano Fred the Red maumivu ya Pogba yamemfanya awe mchezaji ambae ametumika msimu huu wote bila kuchoka na tunaona ambacho ana offer kwa Team, Matic katoka majeruh amerud kwenye form kubwa sana kias kwamba midfield yetu sasa hv tunaamua tucheze mfumo gan na upi kwa maana tuna wachezaji ambao wanakupa kila kitu kwa ajili ya Team.

Pogba anatakiwa atambue kwa sasa uhitaji wa Manchester united kwake sio mkubwa kama kipind tunaanza msimu so anatakiwa ku prove kwel anadeserve kuanza kwa kuonyesha kiwango bora, Inshort tunasema kila mtu ashinde mech zake on midfield battle na sio jina.

Ningekuwa kwenye nafasi ya OGS Pogba ningempa nafas kama ambavyo wengne wanapewa akiwa flopp anapigwa bench kusubiri wenzie wamuonyeshe umuhimu wa kuichezea Manchester United, na ikifika Jully ntammuliza unahitaj kupigania namba na team au kusepa,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wadau wanaamini Man Utd itapata tabu sana bila kuwa na Pogba
Kama kuna kosa ambalo atalifanya OGS na kuharbu hii momentum ya team na dressing room ni kujarbu kumuaccomodate Pogba kwa expenses ya wachezaji wengne.

Team kwa sasa iko very stable kuanzia beki mpka ushambuliaji hata Martial japokua mvivu ila anafunga na kusaidia team

Bruno ameleta balance kubwa kwenye team kias kwamba unaona wachezaj wote wana morali ya kuitumikia team kwa moyo wote.

Pogba ni mchezaji mzur tena mzur sana ila kwa Manchester united ya sa hv tunahitaji team work kuliko uzur wa mchezaji mmoja mmoja

Chukua mfano Fred the Red maumivu ya Pogba yamemfanya awe mchezaji ambae ametumika msimu huu wote bila kuchoka na tunaona ambacho ana offer kwa Team, Matic katoka majeruh amerud kwenye form kubwa sana kias kwamba midfield yetu sasa hv tunaamua tucheze mfumo gan na upi kwa maana tuna wachezaji ambao wanakupa kila kitu kwa ajili ya Team.

Pogba anatakiwa atambue kwa sasa uhitaji wa Manchester united kwake sio mkubwa kama kipind tunaanza msimu so anatakiwa ku prove kwel anadeserve kuanza kwa kuonyesha kiwango bora, Inshort tunasema kila mtu ashinde mech zake on midfield battle na sio jina.

Ningekuwa kwenye nafasi ya OGS Pogba ningempa nafas kama ambavyo wengne wanapewa akiwa flopp anapigwa bench kusubiri wenzie wamuonyeshe umuhimu wa kuichezea Manchester United, na ikifika Jully ntammuliza unahitaj kupigania namba na team au kusepa,


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makocha karibu wote huwa na mchezaji ambaye ni Multipurpose uwanjani, mchezaji anayeweza kuaccess eneo lote la uwanja.

Inawezekana akawa kwenye midfield au kwenye final third.

Ningeweza kukuwekea kila timu hapa ni mchezaji gani huwa anafanya hayo majukumu but nakupa exercise ndogo tu.

Kawaangalie vizuri Man city, Real Madrid, Bayern Munichen, Juventus Man united.
..Mara ooo pogba akiwa free ndo anacheza vizuri..Yaani wachezaji ndani wapo 11 vs 11,hiyo nafasi ya mtu kuwa na free inatoka wapi??

He must work his arse out..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jude Bellingham kinda wa miaka 16 wa Bermingham City

Leo ametembelea Carrington yeye na baba yake kama sehemu ya kufanya tour kwenye vilabu vinavyohitaji huduma yake

Mbali na United kuna vilabu vingine vikubwa vinavyomnyapia huyu dogo, Borussia Dortmond inatajwa kuwa kati ya timu zenye uwezekano wa kumsajili

Japo ana umri mdogo, Bellingham ameshacheza mechi takribani 25 kwenye kikosi cha kwanza cha Birmingham City

Jude ni mchezaji anayecheza nafasi ya kiungo (box to box midfielder) na namba 10 anapohitajika

Inasemekana United imebadili sera ya muda katika kusajili na imeanza mchakato ya usajili wa wachezaji kadhaa tangu Februari tofauti na siku za nyuma ambapo imekuwa ikisubiri mpaka siku za mwisho wa dirisha la usajili

Muda utaongea zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo Borussia Dortmund wakimkosa basi atatua Man united.
Jude Bellingham kinda wa miaka 16 wa Bermingham City

Leo ametembelea Carrington yeye na baba yake kama sehemu ya kufanya tour kwenye vilabu vinavyohitaji huduma yake

Mbali na United kuna vilabu vingine vikubwa vinavyomnyapia huyu dogo, Borussia Dortmond inatajwa kuwa kati ya timu zenye uwezekano wa kumsajili

Japo ana umri mdogo, Bellingham ameshacheza mechi takribani 25 kwenye kikosi cha kwanza cha Birmingham City

Jude ni mchezaji anayecheza nafasi ya kiungo (box to box midfielder) na namba 10 anapohitajika

Inasemekana United imebadili sera ya muda katika kusajili na imeanza mchakato ya usajili wa wachezaji kadhaa tangu Februari tofauti na siku za nyuma ambapo imekuwa ikisubiri mpaka siku za mwisho wa dirisha la usajili

Muda utaongea zaidi


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom