Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

HT:
1. Wan-Bissaka anamuaibisha sana Sterling hakuna cross wala hatari yoyote kutokea wing ya kushoto kwao.
2. Fred Matic wameua hapo katikati mipira haiwapiti na hii inasababisha De Gea asome gazeti kule golini (hana kazi) na Maguire anapanda anacheza kama kiungo wa kati muda mwingi.
3. Bruno bado, kiwango cha mechi iliyopita na hii kiko chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namaanisha baada ya kukosa mara tatu anapata moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna striker yoyote epl mwenye conversion rate kubwa kushinda martial (msimu uliopita) na sitashangaa pia msimu huu akiongoza
2ne60sbu8pd31.jpg
 
Back
Top Bottom