Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,506
Pole Sana kwa Simba mkuu, kwangu Ni weekend mwanana Sana. Yanga kule Man u aiseeeeSimba walikuwa wanadhani wataaribu weekend yangu,shenzi zenu..United wamenirudishia form yangu ya good weekend
City si wana mechi mkononi? Labda wafungwe tena.Kinachoudhi ni kimoja tu. Mechi mbili zijazo Liver anatangazwa bingwa.
Mzee baba tuna points 6 tu tuwe mabingwa. Acha kufanya kichwa ngumuCity si wana mechi mkononi? Labda wafungwe tena.
Viungo wetu hawajajua bado kumtumia Daniel James. Dogo ni wakupigia mipira mirefu awatoe jasho mabeki kwa mbio,ama atafunga au atatoa assist.
Liver anahitaji kushinda game mbili tu awe bingwaCity si wana mechi mkononi? Labda wafungwe tena.
Ujinga wa Man u usishangae akapigwaFor sure..
Spurs ni wa kutafunwa pia palepale tothenham stadium weekend ijayo
Away win against PSG is still the best United perfomance under OGS
Bruno Fernandes angefunga zile chance
Timu inaendelea kujengwa taratibu tutafika tunapotaka ila kwa sasa wacha tufurahie kaushindi haka katamu kabisa tulichopata
GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mie nilihisi wamechomoa
Hata Ole amekasirika sana..lilikuwa goli la wazi kabisa kama angepiga pasi kwa BF18Ameanza kuwa mchoyo siku hizi
Nadhani hii tunasababisha mashabiki, tunapohoji kwa nini siku hafungi
Amemnyima Fernandez pasi afunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameanza kuwa mchoyo siku hizi
Nadhani hii tunasababisha mashabiki, tunapohoji kwa nini siku hafungi
Amemnyima Fernandez pasi afunge goli la wazi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
A proper line up ,proper game plan ,proper substitution by OGS
Possibly his best perfomance as United manager